Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha ya Rais Kim Jong-Un yazua mgogoro

Viongozi wa Korea Kaskazini walitembelea saluni moja iliyoko mjini London, kutaka kujua ni kwa nini ilitumia picha ya kiongozi wao Kim Jong-un katika bango la kibiashara.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini

Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong un: Kile tunachojua kuhusu hali ya kiafya ya rais wa Korea Kaskazini

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un, kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un aonekana hadharani

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kwa mara ya kwanza ameonekana hadharani tangu Septemba 3.

 

11 years ago

BBCSwahili

Picha ya Rais Obama yazua kizaa zaa

Ikulu ya Whitehouse imeikashifu kampuni ya simu ya Samung kwa kutumia picha ya Rais Barack Obama aliyojipiga na mchezaji maarufu nchini Marekani David Ortiz kama tangazo la kibiashara.

 

11 years ago

GPL

PICHA YA RAIS OBAMA NA ORTIZ YAZUA KIZAAZAA

Rais Obama akipiga picha na David Ortiz. IKULU ya Marekani imeikashifu kampuni ya simu ya Samsung kwa kutumia picha ya Rais Barack Obama aliyopiga na mchezaji maarufu nchini Marekani David Ortiz kama tangazo la kibiashara. Rais Obama akiwa na jezi yake baada ya kukabidhiwa na Ortiz. Picha hiyo ilipigwa na Ortiz mwenyewe akiwa na Rais Obama akitumia simu yake ya Samsung mapema wiki.
Hata hivyo kampuni ya Samsung...

 

9 years ago

BBCSwahili

Msaidizi mkuu wa Kim Jong-un afariki

Msaidizi mkuu wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amefariki katika ajali ya barabarani, shirika la habari la serikali la KCNA amesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-Un apeleka poda jeshini

Kiongozi wa Korea Kusini Kim Jong-Un ameonesha namna anavyojali masuala ya kijinsia kwa kuwapa askari poda za kujipodolea .

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Kim Jong Un kuzuru Urusi

Serikali ya Urusi inasema kwamba Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekubali mwaliko wa Rais wa nchi hio kuzuru Urusi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani