Picha ya Rais Kim Jong-Un yazua mgogoro
Viongozi wa Korea Kaskazini walitembelea saluni moja iliyoko mjini London, kutaka kujua ni kwa nini ilitumia picha ya kiongozi wao Kim Jong-un katika bango la kibiashara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kim Jong un: Kile tunachojua kuhusu hali ya kiafya ya rais wa Korea Kaskazini
Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un, kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kim Jong-un aonekana hadharani
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kwa mara ya kwanza ameonekana hadharani tangu Septemba 3.
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Picha ya Rais Obama yazua kizaa zaa
Ikulu ya Whitehouse imeikashifu kampuni ya simu ya Samung kwa kutumia picha ya Rais Barack Obama aliyojipiga na mchezaji maarufu nchini Marekani David Ortiz kama tangazo la kibiashara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEy2DIie-DcPw*n7-ccK3tGrCdEs9jWKljdZR4AgfUDzLfTzMZlgC0AmKXzddvp4KDCH6GidRi8fd56eeyURlaZh/OBAMANAORTIZ.jpg?width=650)
PICHA YA RAIS OBAMA NA ORTIZ YAZUA KIZAAZAA
Rais Obama akipiga picha na David Ortiz. IKULU ya Marekani imeikashifu kampuni ya simu ya Samsung kwa kutumia picha ya Rais Barack Obama aliyopiga na mchezaji maarufu nchini Marekani David Ortiz kama tangazo la kibiashara. Rais Obama akiwa na jezi yake baada ya kukabidhiwa na Ortiz. Picha hiyo ilipigwa na Ortiz mwenyewe akiwa na Rais Obama akitumia simu yake ya Samsung mapema wiki.
Hata hivyo kampuni ya Samsung...
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Msaidizi mkuu wa Kim Jong-un afariki
Msaidizi mkuu wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amefariki katika ajali ya barabarani, shirika la habari la serikali la KCNA amesema.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kim Jong-Un apeleka poda jeshini
Kiongozi wa Korea Kusini Kim Jong-Un ameonesha namna anavyojali masuala ya kijinsia kwa kuwapa askari poda za kujipodolea .
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Tetesi za Kim Jong Un kuzuru Urusi
Serikali ya Urusi inasema kwamba Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekubali mwaliko wa Rais wa nchi hio kuzuru Urusi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania