Kim Jong un: Kile tunachojua kuhusu hali ya kiafya ya rais wa Korea Kaskazini
Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un, kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PLEldxXGN3w/XsrUI2Z_KfI/AAAAAAALrcQ/WYGpDxOVyX4Di-0pXFdn6H139LR43pAagCLcBGAsYHQ/s72-c/3059.jpg)
KIM JONG - un MWAMBA WA KOREA KASKAZINI MWENYE SIRI LUKUKI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KIM Jong - un kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini "Master" anafahamika zaidi kwa uongozi wake wa kidikteta pamoja na kutoweka wazi baadhi ya masuala yanayomuhusu, ikiwemo umri, familia hasa idadi ya watoto na safari yake kielimu, Kim amezaliwa Korea Kaskazini ni kijana wa bi.Young -hee na bwana Kim Jong -il aliyetawala nchi hiyo kidikteta hadi alipofariki dunia mwaka 2011.
Kim Rais wa Korea Kaskazini na kiongozi wa chama cha wafanyakazi wa nchi hiyo ni mtoto wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ajitokeza hadharani kwa mara ya kwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s640/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini
Katika siku za hivi karubuni kiongozi huyo wa Korea kaskzini alitoweka katika maeneo ya umma kwa siku 20 na kukosa sherehe za kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya babu yake - ikiwa ni sherehe kubwa mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Kim Jong-un aonekana hadharani, vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimeripoti
Ripoti za kuonekana kwake hadharani zimekuja huku kukiwa na tetesi juu ya afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kim Jong-un 'aahirisha hatua za kijeshi' Korea Kusini
Hatua hiyo inakuja siku kadhaa baada ya Pyongyang kutishia kuwapeleka wanajeshi wake mpakani.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Sinema kuhusu Kim Jong Un yazuiliwa
Kampuni ya Sony imefutilia mbali kuonyeshwa kwa filamu kwa jina The Interview ,filamu ya ucheshi kuhusu mauaji ya rais Kim Jong-un
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania