Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIM JONG - un MWAMBA WA KOREA KASKAZINI MWENYE SIRI LUKUKI



Na Leandra Gabriel, Michuzi TV


KIM Jong - un kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini "Master" anafahamika zaidi kwa uongozi wake wa kidikteta pamoja na kutoweka wazi baadhi ya masuala yanayomuhusu, ikiwemo umri, familia hasa idadi ya watoto na safari yake kielimu, Kim amezaliwa Korea Kaskazini ni kijana wa bi.Young -hee na bwana Kim Jong -il aliyetawala nchi hiyo kidikteta hadi alipofariki dunia mwaka 2011.


Kim Rais wa Korea Kaskazini na kiongozi wa chama cha wafanyakazi wa nchi hiyo ni mtoto wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini

Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

5 years ago

Michuzi

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ajitokeza hadharani kwa mara ya kwanza

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un hatimaye amejitokeza hadharani katika uzinduzi wa kiwanda cha mbolea Ijumaa Mei 1 baada ya uvumi kuhusu afya yake, limesema shirika la habari la serikali la KCNA.
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong un: Kile tunachojua kuhusu hali ya kiafya ya rais wa Korea Kaskazini

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un, kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini

Katika siku za hivi karubuni kiongozi huyo wa Korea kaskzini alitoweka katika maeneo ya umma kwa siku 20 na kukosa sherehe za kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya babu yake - ikiwa ni sherehe kubwa mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un aonekana hadharani, vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimeripoti

Ripoti za kuonekana kwake hadharani zimekuja huku kukiwa na tetesi juu ya afya ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un 'aahirisha hatua za kijeshi' Korea Kusini

Hatua hiyo inakuja siku kadhaa baada ya Pyongyang kutishia kuwapeleka wanajeshi wake mpakani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani