MWALIMU AJITOKEZA KUOMBA UBUNGE KALENGA KUPITIA CHADEMA
Katibu wa Chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akipokea fomu kutoka kwa Mwalimu Vitus Lawa (kulia) fomu za kuwania kinyang'anyiro cha kuwa mgombea wa chadema jimbo la Kalenga
Baadhi ya wadau waliomsindikiza Mwalimu Vitus Lawa kurejesha fomu za kuchaguliwa kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya Gangilonga.
Mwalimu Lawa akizungumza na wafuasi wake
Mwalimu Vitus Lawa akizungumza na waandishi (hawapo pichani)baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWALIMU AJITOKEZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KUPITIA CHADEMA
11 years ago
Michuzi09 Feb
MUUZA MAGAZETI AJITOKEZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KUPITIA CHADEMA
Uchaguzi mdogo wa kujaza kiti hicho kilichoachwa wazi na Dk William Mgimwa aliyefariki Januari 1, mwaka huu, utafanyika Machi 16, mwaka huu.
Akitumia umaarufu wake wa kuuza magazeti mjini hapa, Pugili aliyesindikizwa na baadhi ya wauza magazeti wenzake alichukua fomu za Chadema kwa staili ya aina yake...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
CHADEMA yamteua Mwenda ubunge Kalenga
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua mwanasheria Sinkala Mwenda kugombea ubunge wa Kalenga baada ya kuwashinda wenzake 13. Katika kinyang’anyiro cha uteuzi huo kada aliyekimbia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kushindwa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
CHADEMA wapata mgombea ubunge Kalenga
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imemtangaza Grace Tendega kuwa mgombea ubunge Jimbo la Kalenga. Jimbo hilo lipo wazi baada ya kifo cha mbunge wake, William Mgimwa,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGx*Zr11BrItu5WhsSymm3FVUxUpePPnA*2ZaI43xfi47*oy5-xe*Z9RaCXsSlb7hOETKsDwneJA*drfVjT37ZR/MgombeakupokelewaLumuli.jpg?width=650)
CHADEMA KATIKA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
11 years ago
Michuzi23 Feb
CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/G7xbiEkgezPx6pgAsGhFATtWjUlpHntqCo7v0HvMowjpN5GyZxSV1WXWlqkjIYUmx-7vvbPcpmjAwnoXiuclDnwmTm2GwunD4-2Tngy7pLDDjrIRp5_dvyhuMhwgFJqAVUASs7UNSuoXTKvl401l6WNRtdsbd82F3nhzosG_7kqyZ_S6yg1NtjgbddlEyyDzBKTP9dFhkiElZ-Zw9PDov8D52UT7auGFvxat_NwZoltD3uGxmvHUKbAJmkmBvpLThYKxVj6j2y2_2nS_ZEnhUg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mjengwablog.com%2Fimages%2Fkumnadii_f8eb3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![makumbusho_a0aac.jpg](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8cun0biI9zPKy_3UlDuWaEuG7bPQA45XdTfdG4qjwmaPLoAUHFhfv5LE6JGHD_fGNt8tqjkJJRACA8n1_idrh4TAjg6NfWxvPXvEJQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/makumbusho_a0aac.jpg)
![mvua_6aa63.jpg](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Xiwgp_BncZTSH3c4qCRnfWmxJjZiYHaXnqOF5DvOzfveQ2qa_NQKp15_tlOTH8ruBU5ul9_f0WeRj4hpLe3Y8TG0qUugSQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/mvua_6aa63.jpg)
![kumnadii_f8eb3.jpg](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/hAEBiMlUb_44sPj6cf9ViOEcQubXhu-t3MliYjW3scEJcs1iqIfNP0h6AcTdeixPgk-DDgN5934RU8JiUkidCuc8txeu9epg8uo=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/kumnadii_f8eb3.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Feb
PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA
Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...
11 years ago
GPLMSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pjUrS_GNONo/VSjd_9b6XPI/AAAAAAAAERQ/i-foXhytX8o/s72-c/profesar-j1.jpg)
HAWA NDIO WASANII WATAKAOGOMBEA UBUNGE KUPITIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pjUrS_GNONo/VSjd_9b6XPI/AAAAAAAAERQ/i-foXhytX8o/s640/profesar-j1.jpg)
Hii tabia ya CHADEMA kutumia wasanii wa bongo fleva & movie kisiasa ni upunguani wa hali ya juu sana.Iweje leo hii kisa tu chama kinataka ruzuku ya kutosha kione ni vyema na sawa kuokota tu vijana wasio kuwa na maadili kutoka kwenye tasnia za muziki na movie na kuwanadi ili wawakilishe wananchi bungeni!? Huu ni wehu na kukosa kufikiri!
CHADEMA wamezindua mpango uitwao "Kujaa bungeni kivyovyote" na haya ya kujaza wasanii ndio mkakati wa kufanikisha mpango huo!
Kwa taarifa sahihi kutoka CHADEMA...