Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Benghazi watakiwa kuondoka

Wakazi wa mjini Beghazi nchini Libya watakiwa kuondoka kupisha operesheni dhidi ya Wanamgambo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto

Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

 

10 years ago

Habarileo

Machinga watakiwa kuondoka Ubungo

MANISPAA ya Kinondoni imetaka wafanyabiashara ndogo (machinga) wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa, kama Ubungo mataa, kuondoka haraka katika maeneo hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

5 years ago

Michuzi

Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC





 






Na Mwandishi wetu, Uvinza.

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.

Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta  3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Pugu watakiwa kuhama

WIKI moja baada ya gazeti hili kuandika kuhusu hatari ya kupata magonjwa, ikiwemo kipindupindu inayowakabili wakazi wanaoishi karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi na hatua ya kula kwenye chandarua walioianzisha kupunguza kero ya inzi, uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umezungumzia hali hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kinondoni watakiwa kutoa maoni

MWANASHERIA wa Manispaa ya Kinondoni, Burton Mahenge. amewataka wakazi wa manispaa hiyo kuhakikisha wanatoa maoni juu ya sheria ndogo nne zilizotungwa na manispaa hiyo kwa ajili ya kuwa sheria kamili....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tunduma watakiwa kutathmini nyumba zao

DIWANI wa Tunduma, Frank Mwakajoka, amewataka wakazi wa kata hiyo ambao nyumba zao zipo kandokando mwa barabara kuu ya Tunduma -Sumbawanga kuzifanyia tathmini kama zipo ndani ya hifadhi ya barabara...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Iringa watakiwa kuwa watulivu na kulinda amani

Wakazi wa mkoani Iringa wametakiwa kuwa watulivu kwa kupunguza ushabiki wa kisiasa ili kuepusha vurugu zisizo na msingi na kuufanya mkoa huo kuwa sehemu salama ya kuishi.

Hatua hiyo inatokana na uwepo wa watuhumiwa 50 waliokamatwa kwa madai ya kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi.

Ni kutokana na mvutano uliopo baina ya makundi mawili ya kisiasa juu ya ushindi wa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa- Bi- Amanina...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kagera watakiwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola

Wananchi mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola ili kufanikisha kukamatwa kwa wahusika wa matukio ya uchomaji wa makanisa  mkoani humo.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera John  Mongella  wakati alipotembelea makanisa manne yaliyochomwa moto mwanzoni mwa wiki hii yakikamilisha idadi ya makanisa saba yaliyofanyiwa uhalifu huo ndani ya wiki mbili.

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera John  Mongella  akiambatana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa inaanzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani