Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nepal yasema inasimamia vyema misaada

Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya lalama kwamba inashindwa kusimamia vyema misaada ya dharura baada ya tetemeko la Jumamosi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA

Wanajeshi wa nchini Nepal wakiwa wamebeba misaada kwaajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi
Kwa Msaada  wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi  lililotokea Jumamosi  nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada yasambazwa Nepal

Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria

UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi

 

5 years ago

Michuzi

NEC INASIMAMIA WATENDAJI WAKE KUHAKIKISHA UCHAGUZI HAUHARIBIKI -MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekuwa ikifuatilia utendaji kazi wa watendaji wake ili kuhakikisha kuwa hakuna uzembe wa aina yoyote unatokea na kusababisha kuharibika kwa uchaguzi.
Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, zikisomwa pamoja na Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai na Sheria ya Ushahidi na kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma, ikithibitika kuwa mtumishi husika ameharibu uchaguzi na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yazidi kutetemeshwa

Hofu imeendelea Nepal ikiwa ni siku kumi na saba tu,baada ya tetemeko kubwa kuipiga nchi hiyo na kuua zaidi ya watu elfu nane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la Nepal kabla na baada

Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake

 

10 years ago

BBCSwahili

Maporomoko yawaua watu 15 Nepal

Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya manusura yadidimia Nepal

Matumaini yanadidimia nchini Napal ya kuwapata manusura zaidi , baada ya kutokea kwa tetemeko baya la ardhi wiki moja iliyopita .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani