Nepal yasema inasimamia vyema misaada
Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya lalama kwamba inashindwa kusimamia vyema misaada ya dharura baada ya tetemeko la Jumamosi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s72-c/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s1600/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
Kwa Msaada wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Jumamosi nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Misaada yasambazwa Nepal
Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal
10 years ago
BBCSwahili04 May
Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka
Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao
10 years ago
BBCSwahili03 May
Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria
UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi
5 years ago
MichuziNEC INASIMAMIA WATENDAJI WAKE KUHAKIKISHA UCHAGUZI HAUHARIBIKI -MAJALIWA
Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, zikisomwa pamoja na Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai na Sheria ya Ushahidi na kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma, ikithibitika kuwa mtumishi husika ameharibu uchaguzi na...
10 years ago
BBCSwahili13 May
Nepal yazidi kutetemeshwa
Hofu imeendelea Nepal ikiwa ni siku kumi na saba tu,baada ya tetemeko kubwa kuipiga nchi hiyo na kuua zaidi ya watu elfu nane.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tetemeko la Nepal kabla na baada
Picha zinazoonyesha athari ya tetemeko lililokumba mji wa Kathmandu,Nepal pamoja na viunga vyake
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
10 years ago
BBCSwahili02 May
Matumaini ya manusura yadidimia Nepal
Matumaini yanadidimia nchini Napal ya kuwapata manusura zaidi , baada ya kutokea kwa tetemeko baya la ardhi wiki moja iliyopita .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania