NEC INASIMAMIA WATENDAJI WAKE KUHAKIKISHA UCHAGUZI HAUHARIBIKI -MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekuwa ikifuatilia utendaji kazi wa watendaji wake ili kuhakikisha kuwa hakuna uzembe wa aina yoyote unatokea na kusababisha kuharibika kwa uchaguzi.
Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, zikisomwa pamoja na Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai na Sheria ya Ushahidi na kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma, ikithibitika kuwa mtumishi husika ameharibu uchaguzi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Oct
NEC yalalamikiwa utendaji wake kuelekea uchaguzi
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tume yatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa haki, usawa
Na Wandishi Wetu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imetakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa haki na usawa kuepuka machafuko yasitokee nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola, Goodluck Jonathan, alisema kufanikiwa kwa uchaguzi huo kunategemea kuwapo uwazi, haki na kufuata misingi ya utawala bora.
Alisema ili kuhakikisha amani inakuwapo...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Lubuva: Mabadiliko ya watendaji NEC ni ya kawaida
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--_6iLiPiIZo/U6qgK3ZRmdI/AAAAAAAFs5w/E7JbN1-SdeI/s72-c/NEC_BANNER2.gif)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHAKIKISHA INAWEKA MIUNDOMBINU MIZURI KWA WALEMAVU.
![](http://2.bp.blogspot.com/--_6iLiPiIZo/U6qgK3ZRmdI/AAAAAAAFs5w/E7JbN1-SdeI/s1600/NEC_BANNER2.gif)
Na John Gagarini, Kibaha.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC) imesema kuwa itahakikisha kuwa inaweka miundombinu mizuri kwa watu wenye ulemavu wakati wa uboreshaji wa zoezi la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika hivi karibuni.
Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Tume imejipanga kuhakikisha kila kundi ndani ya jamii ikiwemo ile ya walemavu wanashiriki kikamilifu zoezi hilo ambalo litaambatana na utoaji wa vitambulisho vipya vya wapiga kura vitakavyotumika kwenye wakati...
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake haiharibiwi
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha aikabidhi ngao Vodacom Tanzania kwa kutambua mchango wake kuhakikisha usalama barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8JOXxzWAv0/VCA3o2DS1WI/AAAAAAAGlF8/h6FRf18AnFI/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CEFQq7juxXs/VW9uQHknhTI/AAAAAAAHbys/IAd0jdjCreo/s72-c/377.jpg)
CHAMA CHA CCM KINAKABILIWA NA KAZI KUBWA YA KUHAKIKISHA KINASHIDA UCHAGUZI WA MWAKA HUU-BALOZI SEIF ALI IDDI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CEFQq7juxXs/VW9uQHknhTI/AAAAAAAHbys/IAd0jdjCreo/s640/377.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8RcagMNGFGk/VW9uLJVWpkI/AAAAAAAHbyk/EU232QbQhgM/s640/389.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mxZcIXHFiKY/VW9uTLIM3fI/AAAAAAAHby0/GfGSjk9LxzM/s640/393.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NLE-VYpioqw/U8QCJ4Hkl5I/AAAAAAAF2Jk/Vr2gHdNhPxk/s72-c/unnamed+(56).jpg)
MAALIM SEIF AFUTARISHA WATENDAJI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-NLE-VYpioqw/U8QCJ4Hkl5I/AAAAAAAF2Jk/Vr2gHdNhPxk/s1600/unnamed+(56).jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifutarisha watendaji wa Ofisi yake nyumbani kwake Mbweni Zanzibar. Miongoni mwao ni Watu Wenye Ulemavu wa aina mbali mbali. Picha na Salmin Said, OMKR
![](http://3.bp.blogspot.com/-tBO2jD4bBlg/U8QCKKuhm8I/AAAAAAAF2Jc/MFHOKebhdtY/s1600/unnamed+(57).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5WJNCvcgQQM/U8QCJ7RdXBI/AAAAAAAF2JY/a2YhiO0XJas/s1600/unnamed+(58).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10