Kinana: Tusitegemee misaada kutoka nje
NA THEODOS MGOMBA, MOSHI.
WATANZANIA wameshauriwa kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kuwaletea maendeleo yao. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Moshi Vijijini, katika Kata ya Arusha Chini.
Kinana alisema hakuna mataifa kutoka nje ambayo yako tayari kusaidia maenendeleo ya watu bila ya wao kujitahidi kuondokana na umasikini.Alisema tabia hiyo ya kutegemea misaada kutoka nje inawafanya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkapa aiponda misaada kutoka nje
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v3v1F4yP9MU/Vg5Bi6XrgdI/AAAAAAAH8TM/UEsKIHZn1EA/s72-c/IMG_9969.jpg)
JAMII YAASWA KUTOKUTEGEMEA MISAADA KUTOKA NJE
![](http://3.bp.blogspot.com/-v3v1F4yP9MU/Vg5Bi6XrgdI/AAAAAAAH8TM/UEsKIHZn1EA/s640/IMG_9969.jpg)
JAMII ya watanzania wanatakiwa kutokutegemea misaada kutoka nje ya nchi isipo kuwa tunatakiwa kujitolea ili kusaidia jamii isiyojiweza kwa jia ya harambee.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Serikali yaonywa kutegemea misaada ya nje
WADAU wa Maendeleo kutoka asasi mbalimbali za kijamii wameishauri serikali kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi, kwani endapo itashindwa kutolewa kwa wakati inaweza kusababisha kwa namna moja au nyingine nchi...
11 years ago
Dewji Blog11 May
Kinana afunika Nzega, Kigwangala na Bashe wachuana kutoa misaada mbele yake
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi juu ya maendeleo ya wananchi yasichukue muda mrefu.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega kwenye mkutano uliofanyika Nzega mjini na kuwaambia wananchi hao kuwa wasisumbuke na wapinzani kwani wapinzani hawapo kwa ajili ya maslahi ya maendeleo ya...
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ukarine kukagua misaada kutoka Urusi
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Tanesco isipofumuliwa tusitegemee ufanisi
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Bila maandalizi tusitegemee medali madola