Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Tusitegemee misaada kutoka nje



NA THEODOS MGOMBA, MOSHI.
WATANZANIA wameshauriwa  kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kuwaletea maendeleo yao. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Moshi Vijijini, katika Kata ya Arusha Chini.
Kinana alisema hakuna mataifa kutoka nje ambayo yako tayari  kusaidia maenendeleo ya watu bila ya wao  kujitahidi kuondokana na umasikini.Alisema tabia hiyo ya kutegemea misaada kutoka nje inawafanya...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkapa aiponda misaada kutoka nje

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amesema misaada inayotolewa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika haina masilahi na ina lengo la kudhoofisha ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika .

 

9 years ago

Michuzi

JAMII YAASWA KUTOKUTEGEMEA MISAADA KUTOKA NJE

Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt  katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila mwezi  (THURDAY TALK) unaoandaliwa na kampuni ya Solution Blocks jijini Dar es Salaam jana.
JAMII ya watanzania wanatakiwa kutokutegemea misaada kutoka nje ya nchi  isipo kuwa tunatakiwa kujitolea  ili kusaidia jamii isiyojiweza  kwa jia ya harambee.
Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaonywa kutegemea misaada ya nje

WADAU wa Maendeleo kutoka asasi mbalimbali za kijamii wameishauri serikali kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi, kwani endapo itashindwa kutolewa kwa wakati inaweza kusababisha kwa namna moja au nyingine nchi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana afunika Nzega, Kigwangala na Bashe wachuana kutoa misaada mbele yake

unnamed

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi juu ya maendeleo ya wananchi yasichukue muda mrefu.

unnamed (1)

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega kwenye mkutano uliofanyika Nzega mjini na kuwaambia wananchi hao kuwa wasisumbuke na wapinzani kwani wapinzani hawapo kwa ajili ya maslahi ya maendeleo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukarine kukagua misaada kutoka Urusi

Ukraine imesema walinzi wake wa mpakani watakagua misaada ya Urusi inayopelekwa nchini humo

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12

Barua pepe: nje@nje.go.tz

Barua pepe: gcu@nje.go.tz

Tovuti : www.foreign.go.tz

Nukushi: 255-22-2116600

              

 


                20 KIVUKONI FRONT,

                           P.O. BOX 9000,

                  11466 DAR ES SALAAM, 

                                    Tanzania.


 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco isipofumuliwa tusitegemee ufanisi

Kama kuna suala ambalo limezungumziwa na Serikali kwa muda mrefu, lakini utetekelezaji wake ukabaki kwenye makabrasha, ni kufumuliwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ili kuleta ufanisi kwa kubadili mfumo wake na kuunda kampuni kubwa tatu zitakazojitegemea na kujenga soko huru la umeme.

 

10 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (mwenye tai) akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Luigi Scotto alipotembelea Wizarani leo.Balozi Gamaha akisalimiana na Kansela Raffaele De Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia ambaye alifuatana na Balozi Scotto walipotembelea Wizara ya Mambo ya Nje leo. Balozi wa Italia (katikati) akimtambulisha Kansela Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia kwa Kaimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Bila maandalizi tusitegemee medali madola

Bingwa mara mbili wa mbio ndefu kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola, Gidamis Shahanga amedai kuwa bila maandalizi Tanzania isitarajie medali ya muujiza kwenye michezo hiyo msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani