Bila maandalizi tusitegemee medali madola
Bingwa mara mbili wa mbio ndefu kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola, Gidamis Shahanga amedai kuwa bila maandalizi Tanzania isitarajie medali ya muujiza kwenye michezo hiyo msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Hatuoni maandalizi ya medali michezo ya Madola
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow huko Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.
11 years ago
Mwananchi19 Jul
‘Medali ya Madola imeachwa Tanzania’
Wakati msafara wa Tanzania ukiwasili kwenye kijiji cha michezo tayari kwa michezo ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kocha mkuu wa timu ya taifa ya judo, Zaid Hamis ametoa kali baada ya kueleza kuwa medali ya timu yake imebaki Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Kikwete ataka medali Jumuiya ya Madola
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amewataka wachezaji wa michezo mbalimbali wanaokwenda leo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola, kutambua heshima ya ushiriki wao na nchi pia....
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Ramadhani aota medali Jumuiya ya Madola
Serengeti. Mshindi wa medali ya dhahabu katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2006 kwenye Marathoni (km 42), Samson Ramadhan ameweka wazi nia yake ya kutetea medali yake kwenye michezo ya msimu huu.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania kusaka medali Madola leo
Tanzania inaanza kusaka medali kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola leo mchana, wakati timu za taifa za mpira wa meza, kuogelea na judo zitakuwa kwenye viwanja tofauti jijini Glasgow, Scotland.
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mashujaa wa Tanzania waliotwaa medali 21 Madola
Tanzania imeshashiriki Michezo ya Jumuiya ya Madola mara 12 na mwaka huu itakuwa ikishiriki kwa mara ya 13, lakini hadi sasa ni wanariadha watano tu ambao wamewahi kuchota medali kwenye mashindano hayo. Michezo ya mwaka huu itafanyika Scotland kuanzia Julai 23.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Matumaini ya medali Madola kwa Watanzania yazidi kupeperuka
Pigo kwa Tanzania! Ndivyo ilivyokuwa jana kwenye kambi ya wanamichezo wa Tanzania nchini Scotland baada ya mwanariadha mzoefu, Fabiano Joseph kushindwa kung’ara kwenye mbio za marathon za Michezo ya Jumuiya ya Madola.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AqZEobzNKkw/U7Ef-qzej0I/AAAAAAAFtmc/56JERmnRL40/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Wanamichezo waahidi kuleta medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola huko Glasgow, Scotland.
Akizungumza mara baada ya kuwasili nchini jana wakitokea Ethiopia Kocha wa Timu ya Riadha aliyeambatana na wachezaji 8 Bw. Shaban Hiiti alisema kuwa ana imani kubwa na wachezaji wake walioteuliwa katika Timu ya Taifa kuwa watailetea heshima Taifa kwa kuwa mazoezi waliyoyapata wakiwa nchini Ethiopia yamewajengea uwezo mkubwa.
Alisema kuwa walipokuwa nchi Ethiopia kwa mazoezi wamejifunza mbinu mbalimbali kutokana na kuwa na program za kuwajengea uwezo wachezaji wake na wako tayari kwa...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Maandalizi yetu michezo ya Madola yanatia shaka
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania