Upinzani wakejeli Serikali kutegemea mikopo
Kambi rasmi ya upinzani bungeni imesema Serikali inatakiwa kukusanya Sh19.6 trilioni kwa mwaka tofauti na malengo iliyojiwekea ya Sh13.4 trilioni, huku ikihoji sababu za miradi ya maendeleo kutegemea mikopo ambayo alisema imeongeza ukubwa wa deni kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Serikali yaonywa kutegemea misaada ya nje
WADAU wa Maendeleo kutoka asasi mbalimbali za kijamii wameishauri serikali kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi, kwani endapo itashindwa kutolewa kwa wakati inaweza kusababisha kwa namna moja au nyingine nchi...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Upinzani washinikiza serikali Kenya
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
UN yalaumu Serikali na upinzani Burundi
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo
10 years ago
Habarileo25 Dec
Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mkitaa
SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.
11 years ago
Mwananchi07 May
Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani
10 years ago
Habarileo25 Dec
Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mitaa
SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.
11 years ago
Habarileo08 Dec
Chenge aipa somo serikali kuhusu mikopo
SERIKALI imeshauriwa kukopa ndani ya ukomo wa Sh bilioni 1,120 kutokana na masharti ya Shirika la Kimataifa la Fedha(IMF) na Benki ya Dunia ili kuweza kugharamia miradi mikubwa ya kitaifa ya kimkakati, kama ujenzi wa reli na bandari.
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yakanusha kutohudumia mikopo Mifuko ya hifadhi
MIKOPO inayotolewa na Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini kwa serikali nchini inatolewa baada ya kudhibitishwa na Benki Kuu (BoT) na SSRA ambayo pia inasimamia ulipwaji wake ambao serikali inaendelea kulipa.