Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani washinikiza serikali Kenya

Usalama umeimarishwa nchini Kenya huku upinzani ukijiandaa kwa mkutano mkubwa wa kisiasa kushinikiza serikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Watanzania na Wakenya washinikiza serikali zao kutangaza 'lockdown'?

Baadhi ya raia wa Tanzania na Kenya wamekua wakizitaka serikali zao zitangaze amri ya watu kukaa nyumbani ili kudhibiti maambukizi ya coronavirus. Lakini je marufuku hii ya ''lockown'' ina maana gani?

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani wadai mageuzi Kenya

Maelfu wa wafuasi wa upinzani wamekusanyika katika bustani ya Uhuru Park mjini Nairobi kudai mageuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wavalia sare za wanafunzi Kenya

Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamevalia mavazi yanayofanana na sare za wanafunzi wakiitaka serikali kulipa walimu nyongeza ya mishahara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapendekeza Kura ya maoni Kenya

Wafuasi wa upinzani walikusanyika katika mji mkuu Nairobi kulalamikia maswala ambayo wanasema serikali imepuuza kuyatekeleza.

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya na ubovu wa upinzani, Katiba na tatizo la usalama

Tangu wiki iliyopita, Bunge la Kenya limeendelea kujadili muswada wa mabadiliko ya Sheria (Security Laws Amendment Bill 2014) ambao ulitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mustakabali mzima wa usalama wa nchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yalaumu Serikali na upinzani Burundi

Umoja wa Mataifa umesema wakuu wa serikali ya Burundi na viongozi wa upinzani wanajaribu kuigawanya nchi hiyo kwa misingi ya kimbari.

 

10 years ago

Mwananchi

Upinzani wakejeli Serikali kutegemea mikopo

Kambi rasmi ya upinzani bungeni imesema Serikali inatakiwa kukusanya Sh19.6 trilioni kwa mwaka tofauti na malengo iliyojiwekea ya Sh13.4 trilioni, huku ikihoji sababu za miradi ya maendeleo kutegemea mikopo ambayo alisema imeongeza ukubwa wa deni kwa wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mitaa

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, akielezea jambo kwa wanahabari.SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.

 

10 years ago

Habarileo

Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mkitaa

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, akielezea jambo kwa wanahabari.SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani