Upinzani wadai mageuzi Kenya
Maelfu wa wafuasi wa upinzani wamekusanyika katika bustani ya Uhuru Park mjini Nairobi kudai mageuzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda
Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Hapatoshi:Wabunge wa upinzani wadai ripoti imechakachuliwa
Hali ni tete. Ndiyo neno ambalo unaweza kulizungumza kuhusu kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Wadai walifungwa kizazi na serikali Kenya
Kikundi cha wanawake wenye virusi vya HIV nchini Kenya, kimewasilisha kesi mahakamani dhidi ya serikali kikiituhumu kuwafunga kizazi kwa lazima kutokana na hali yao ya HIV.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mkuu wa mageuzi ya polisi Kenya atishwa
Polisi nchini Kenya wanachunguza chanzo cha barua ya vitisho kwa maisha ya mkuu wa tume ya huduma kwa polisi kuhusiana na shughuli inayoendelea ya mageuzi katika idara ya polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Upinzani washinikiza serikali Kenya
Usalama umeimarishwa nchini Kenya huku upinzani ukijiandaa kwa mkutano mkubwa wa kisiasa kushinikiza serikali
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Upinzani wavalia sare za wanafunzi Kenya
Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamevalia mavazi yanayofanana na sare za wanafunzi wakiitaka serikali kulipa walimu nyongeza ya mishahara.
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Upinzani wapendekeza Kura ya maoni Kenya
Wafuasi wa upinzani walikusanyika katika mji mkuu Nairobi kulalamikia maswala ambayo wanasema serikali imepuuza kuyatekeleza.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kenya na ubovu wa upinzani, Katiba na tatizo la usalama
Tangu wiki iliyopita, Bunge la Kenya limeendelea kujadili muswada wa mabadiliko ya Sheria (Security Laws Amendment Bill 2014) ambao ulitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mustakabali mzima wa usalama wa nchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania