Wadai walifungwa kizazi na serikali Kenya
Kikundi cha wanawake wenye virusi vya HIV nchini Kenya, kimewasilisha kesi mahakamani dhidi ya serikali kikiituhumu kuwafunga kizazi kwa lazima kutokana na hali yao ya HIV.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Upinzani wadai mageuzi Kenya
Maelfu wa wafuasi wa upinzani wamekusanyika katika bustani ya Uhuru Park mjini Nairobi kudai mageuzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CUF wadai kuchezewa rafu marudio Uchaguzi Serikali za Mitaa
Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kufanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika maeneo ambayo uchaguzi huo uliahirishwa, Chama cha Wananchi (CUF) kimeibuka na kudai kuwa kuna mipango imepangwa kuhakikisha kuwa chama hicho hakipati ushindi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r_riptLLwjc/Vdrah012jeI/AAAAAAACACQ/w0ml9ROwfts/s72-c/HH.jpg)
TATIZO LA MAJI KILOLO NA ISMANI LAISUMBUA SERIKALI WADAI KUTOKUTHAMINIWA NA VIONGOZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-r_riptLLwjc/Vdrah012jeI/AAAAAAACACQ/w0ml9ROwfts/s400/HH.jpg)
Wakizungumza kwa huzuni mbele ya mkuu wa mkoa wa Iringa aliyefanya ziara ya kugagua miradi ya maji Katika wilaya hizo Mh Amina Masenza wananchi hao walisema kumekuwa na ubabaishaji wa kisiasa juu ya namna ya kupelekewa maji jambo ambalo linawafanya...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Serikali ya Kenya yamtambua muuaji
Kenya imemtambua mmoja ya wapiganaji waliohusika katika mauaji ya chuo kikuu cha Garissa kwamba ni mtoto wa afisa wa serikali.
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Upinzani washinikiza serikali Kenya
Usalama umeimarishwa nchini Kenya huku upinzani ukijiandaa kwa mkutano mkubwa wa kisiasa kushinikiza serikali
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Uhuru wa Mahakama unadhoofishwa na serikali ya Kenya?
Rais Kenyatta ameonekana kuipanga na kuipangua idara ya mahakama sasa maamuzi yake yanatoa fursa kwa mwanasheria mkuu Paul Kihara kusimamia tume zote ikiwemo tume ya uchaguzi.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.
Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Serikali yaagiza shule zifungwe Kenya
Serikali nchini Kenya imeagiza shule zote nchini humo, za umma na za kibinafsi, zifungwe kuanzia Jumatatu huku mgomo wa walimu ukiendelea.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania