Chenge aipa somo serikali kuhusu mikopo
SERIKALI imeshauriwa kukopa ndani ya ukomo wa Sh bilioni 1,120 kutokana na masharti ya Shirika la Kimataifa la Fedha(IMF) na Benki ya Dunia ili kuweza kugharamia miradi mikubwa ya kitaifa ya kimkakati, kama ujenzi wa reli na bandari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Apr
Mnyika aipa angalizo serikali kuhusu ajali.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika, ameitaka serikali kulichukulia kwa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali za barabarani, kama ambavyo taifa linavyotumia nguvu kubwa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yaliyofumka kwa kasi kubwa nchini.
Mnyika alisema takwimu za kiwango cha ajali zilizotokea ndani ya siku 102...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Mahiza aipa somo Ewura
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) kutafuta namna ya kuwasaidia wananchi wenye uwezo mdogo ambao hawana uwezo wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Pinda aipa somo TIC
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amekitaka Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuhakikisha kinafanya kazi na kutoa mchango katika mkakati wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Pinda alitoa rai hiyo wakati wa kuizindua...
10 years ago
Habarileo26 Aug
Mkenya aipa somo TFF soka la wanawake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Kenya (Harambee Starlets), David Ouma amesema kuwa wakati umefika kuwawezesha wanawake wa Tanzania katika soka ili wapate nafasi sawa na wanaume.
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mzee mkoani Dodoma aipa somo la uadilifu CCM
MMOJA wa wazee wa mkoa wa Dodoma Athumani Makole (66) amesema kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuaminiwa na kuendelea kuongoza nchi ni lazima kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wachaguliwe viongozi waadilifu watakaofanya kazi kwa uaminifu ili kurudisha imani yao kwa wananchi.
5 years ago
Michuzi
WATUMISHI OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI WAPEWA SOMO KUHUSU VIRUSI VYA CORONA

Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu na Utawala Bw. James Kibamba akizungumza na sehemu ya watumishi waliohudhulia mafunzo kuhusu namna sahihi ya kujinga na virusi vya ugonjwa wa Corona wakati akimkaribisha muwezeshaki Dkt. Peter Kibacha ambaye ni mtalaam bingwa wa afya na mtoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. zoezi la kutoa elimu hiyo limefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali uliopo Jijini Dar es Salaam.

Bw. Yusuph Varisanga kutoka kitengo...
10 years ago
MichuziWAZIRI KOMBANI AIPA SOMO MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI.
Na John Nditi, Morogoro
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, ameitaka Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini...
5 years ago
Michuzi
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...