Misaada zaidi inahitajika mwakani:UN
Mkuu wa kitengo cha misaada cha Umoja wa Mataifa Valerie Amos ,amesema hali ya sasa nchini Syria ni doa katika jamii ya kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Inahitajika ‘sapoti’ zaidi Siku ya Wanawake Duniani
KILA ifikapo Machi 8 kila mwaka, dunia nzima huadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Kwa kuwa mama au mwanamke ni nguzo kubwa katika jamii, hivyo sina shaka kwamba, kila mmoja atakubaliana...
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Misaada zaidi yahitajika Syria
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Uturuki kupokea misaada zaidi.
10 years ago
StarTV13 Feb
Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.
Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.
Katika mdahalo uliofanyika jijini...
11 years ago
Habarileo26 Jan
Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania
AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.
Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.
Raia Tanzania: Kwa faida ya...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Busara ya Ukawa sasa inahitajika
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Tume Huru inahitajika kura ya maoni
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Elimu ya uchaguzi inahitajika kwa vijana
HUU ni mwaka wa uchaguzi, ifikapo mwezi wa nane nchi itakuwa katika harakati za kutafutwa rais wa awamu ya tano kurithi kiti cha Rais Jakaya Kikwete.
Mbali ya nafasi ya rais, nafasi nyingine zitakazowaniwa ni Wabunge na Madiwani kujaza nafasi zinazoachwa au kupigania nafasi moja katika majimbo au kata.
Lakini Watanzania wengi ambao wanaaminiwa kupiga kura ili kupatikana maamuzi ya mwisho ya kuwaweka madarakani viongozi hao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kushiriki kupiga...