Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba walia kuhujumiana

SIMBA ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Jumamosi, lakini kumeibuka hofu ya kuhujumiana ndani ya klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinadai kuwa kiongozi mmoja wa juu wa klabu hiyo amekuwa akihusishwa kufanya hujuma ili timu ipoteze mechi dhidi ya Azam na nyingine zitakazofuata.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa Simba walia ukata

Baada ya mazoezi ya wiki nzima visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Azam Jumamosi, kikosi cha Simba kinakabiliwa na mambo mengi yanayotakiwa kufanyiwa kazi ili timu ifanikiwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, CUF wahofia kuhujumiana umeya Tanga

Mchakato wa kuwapitisha wagombea wa nafasi ya umeya wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa vyama vya CCM na CUF utaanza wakati wowote huku kila chama kikifanya siri kwa madai ya kuhofia kuhujumiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM walia

MSIMAMO wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliotolewa jana na Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba, kuwa muundo wa Muungano wa Serikali Tatu hauepukiki, umekivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuacha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani