Simba walia kuhujumiana
SIMBA ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Jumamosi, lakini kumeibuka hofu ya kuhujumiana ndani ya klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinadai kuwa kiongozi mmoja wa juu wa klabu hiyo amekuwa akihusishwa kufanya hujuma ili timu ipoteze mechi dhidi ya Azam na nyingine zitakazofuata.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Nyota wa Simba walia ukata
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
CCM, CUF wahofia kuhujumiana umeya Tanga
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
CCM walia
MSIMAMO wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliotolewa jana na Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba, kuwa muundo wa Muungano wa Serikali Tatu hauepukiki, umekivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuacha...