Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa Simba walia ukata

Baada ya mazoezi ya wiki nzima visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Azam Jumamosi, kikosi cha Simba kinakabiliwa na mambo mengi yanayotakiwa kufanyiwa kazi ili timu ifanikiwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Timu Taifa Tenisi walia ukata

>Timu ya Taifa ya Tenisi kwa walemavu inayojiandaa na kusaka kufuzu kwa mashindano ya dunia tenisi inafanya maandalizi kwenye mazingira magumu baada ya kukosa fedha na udhamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani Dodoma walia na ukata wa maisha

Dodoma. Madiwani wa Manispaa ya Dodoma wamemuomba mkurugenzi wa manispaa hiyo kuwalipa fedha za malimbikizo ya posho zao kwa kuwa ni haki yao.

 

10 years ago

CloudsFM

Ukata yaimaliza Klabu ya Simba

Klabu ya soka ya Simba imekuwa ikifanya vibaya kwenye mechi zake za hivi karibuni katika mechi zake za ligi kuu ya Vodacom ambapo habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa sababu ya kufanya vibaya kwa timu hiyo ni kutokana na ukata mkubwa ulioikumba klabu hiyo. Chanzo cha ndani kutoka kwenye Klabu hiyo kinasema kuwa kumekuwa na mgogoro ndani kwa ndani ya viongozi kwenye timu hiyo na inadaiwa kuwa wachezaji hawajalipwa mishahara yao na matatizo mengine mengi.
‘’Kiukweli klabu hii...

 

10 years ago

CloudsFM

9 years ago

Habarileo

Simba walia kuhujumiana

SIMBA ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Jumamosi, lakini kumeibuka hofu ya kuhujumiana ndani ya klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinadai kuwa kiongozi mmoja wa juu wa klabu hiyo amekuwa akihusishwa kufanya hujuma ili timu ipoteze mechi dhidi ya Azam na nyingine zitakazofuata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota Senegal kutua Simba

Simba iko mbioni kumsajili mshambuliaji mpya raia wa Senegal, Papa Niang anayetarajiwa kutua nchini leo.

 

11 years ago

GPL

Nyota 9 wayeyuka mazoezini Simba

Mshambuliaji wa simba,Betram Mwombeki. Na Martha Mboma
WACHEZAJI tisa wa Simba walishindwa kufika mazoezini kwenye Uwanja wa Kinesi, Shekilango jijini Dar, jana kutokana na sababu tofauti ikiwemo ya majeraha na matatizo ya kifamilia. Donald…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani