Nyota wa Simba walia ukata
Baada ya mazoezi ya wiki nzima visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Azam Jumamosi, kikosi cha Simba kinakabiliwa na mambo mengi yanayotakiwa kufanyiwa kazi ili timu ifanikiwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Timu Taifa Tenisi walia ukata
10 years ago
Mwananchi06 May
Madiwani Dodoma walia na ukata wa maisha
10 years ago
CloudsFM24 Feb
Ukata yaimaliza Klabu ya Simba
Klabu ya soka ya Simba imekuwa ikifanya vibaya kwenye mechi zake za hivi karibuni katika mechi zake za ligi kuu ya Vodacom ambapo habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa sababu ya kufanya vibaya kwa timu hiyo ni kutokana na ukata mkubwa ulioikumba klabu hiyo. Chanzo cha ndani kutoka kwenye Klabu hiyo kinasema kuwa kumekuwa na mgogoro ndani kwa ndani ya viongozi kwenye timu hiyo na inadaiwa kuwa wachezaji hawajalipwa mishahara yao na matatizo mengine mengi.
‘’Kiukweli klabu hii...
10 years ago
CloudsFM24 Feb
9 years ago
Habarileo10 Dec
Simba walia kuhujumiana
SIMBA ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Jumamosi, lakini kumeibuka hofu ya kuhujumiana ndani ya klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinadai kuwa kiongozi mmoja wa juu wa klabu hiyo amekuwa akihusishwa kufanya hujuma ili timu ipoteze mechi dhidi ya Azam na nyingine zitakazofuata.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Nyota Senegal kutua Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmCEeup0IzIzVo3cbHr9*qj*GGF8yQr3fOfe7gPIHcKaPvPy0oI3SyKFP4jgFiuE9teXtAPKMRaJUM83r1JzGXJ/nyota.jpg?width=600)
Nyota 9 wayeyuka mazoezini Simba