Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yakana kung’oa viti

Uongozi wa klabu ya Simba umesema hauhusiki na vurugu zilizotokea katika mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly uliochezwa Jumapili iliyopita kwa sababu hawakuwa na masilahi na mechi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nyota watatu kung’oka Simba

SimbaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imepanga kuwatema nyota wake watatu na kusajili wachezaji wenye uzoefu ili kuimarisha kikosi hicho ambacho kinaundwa na chipukizi wengi.

Simba imeanza mikakati ya usajili kwa ajili ya msimu ujao baada ya kumaliza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ikiwa nafasi ya tatu huku ubingwa ukinyakuliwa na watani wao wa jadi Yanga na Azam kushika nafasi ya pili.

Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi Ofisa Habari wa timu hiyo, Haji Manara, alisema uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage atoa sharti kung’oka Simba

MWENYEKITI wa Simba, Ismail Rage ‘Tutu Vengere’ ameutaka uongozi wote ulioko madarakani kuachia ngazi ili klabu iongozwe na watu wapya kwa ajili ya kuleta ufanisi. Rage amekuwa akiandamwa na baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA

KIPINDI CHA PILI KIMEISHA, SIMBA WAMESHAMBULIA SANA, LAKINI WAMESHINDWA KUPATA BAO LA KUSAWAZISHA. HIVYO SIMBA IMEPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA WA LIGI KWA BAO 1-0.
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.Mrage Kabange, kocha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakana madai ya IS

Katika taarifa ya IS, mwanamke huyo alikuwa peke yake wakati ndege za Jordan ziliposhambulia nyumba moja nje ya mji wa Raqqa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngwasuma yakana kusambaratika

BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ imekanusha kwamba imesambaratika kutokana na kile kilichodaiwa kuwa baadhi ya wanamuziki waliopunguzwa katika bendi hiyo kuanzisha nyingine waliyoipa jina la...

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ yakana mpango wa kuwatimua wamasai

Tanzania imekanusha vikali taarifa kuwa ina mpango wa kuwaondoa wamasai wapatao 40,000 katika eneo lao la urithi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Nigeria yakana kujikokota

Serikali ya Nigeria imejitetea vikali kuhusiana na shutma za kushindwa kukabiliana na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram huku wakisema kuwa wamo vitani.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yakana madai ya TFF

Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo amesema alichukua fedha Sh15 milioni kwa mawakala wa kuuza tiketi wakati wa mechi dhidi ya Simba kwa utaratibu na wala hakupora kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani