Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018
Mwezi ujao, timu yetu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuikabili Malawi au The Flames katika mchezo wa awali wa kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Russia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Golota kuona Kombe la Dunia 2018 uraiani
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018
Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.
CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina
Venezuela 1 – 3 Bolivia
Paraguay 2 – 1 Bolivia
Uruguay 3 – 0 Chile
Brazil 3 – 0 Peru
CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Hii ndio first eleven ya Brazil Kombe la Dunia 2018, Firmino na Silva Out !!!
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018
Mchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony
Na Rabi Hume
Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.
Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!
CONMEBOL Qualification;
Argentina 1 – 1 Brazil
Peru 1 – 0 Paraguay
CONCACAF Qualification;
USA 6 – 1 Saint Vincent
Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago
Mexico 3 – 0 El Salvador
Costa Rica 1 – 0 Haiti
Jamaica 0 – 1 Panama
CAF Qualification;
Madagascar 2 – 2 Senegal
Comoros 0 – 0 Ghana
Kenya 1 – 0 Cape Verde
Libya 0 – 1 Rwanda
Angola 1 – 3 Afrika Kusini
Niger 0 – 3 Cameroon
Liberia 0 – 1 Ivory Coast
Mauritania 1 – 2 Tunisia
Swaziland 0 – 0 Nigeria
Ratiba...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
TFF yapongeza watoto kubeba Kombe la Dunia
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeipongeza timu ya taifa ya watoto wa mtaani kwa kutwaa ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi mabao 3-1 katika fainali iliyochezwa jijini Rio de Janeiro,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
10 years ago
CloudsFM14 Mar
ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/4iGGfOEDaytTvsWqu-EI2X0d2SSAqVMkc89saVv56HPiDz03xp3gD8KVMqbyYSNnntF0yzq5JQZV2XO9B7YNjTRrwTp3maA-/MARSHHHHHH.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UirNpLGaL-M/U5twbeRemEI/AAAAAAAFqdw/-AsGMr7QIog/s72-c/10383571_858382170857004_7538480957319557371_n.jpg)
Rais Kenyatta aipeleka Harambee Stars Brazil kwa ziara ya mafunzo kwa kushuhudia kombe la dunia