Golota kuona Kombe la Dunia 2018 uraiani
Mshambuliaji wa zamani wa Simba anayetumikia kifungo cha miaka saba na nusu jela nchini Ethiopia, Joseph Kaniki ‘Golota’, huenda akazitazama fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Russia akiwa uraiani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018
Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.
CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina
Venezuela 1 – 3 Bolivia
Paraguay 2 – 1 Bolivia
Uruguay 3 – 0 Chile
Brazil 3 – 0 Peru
CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Hii ndio first eleven ya Brazil Kombe la Dunia 2018, Firmino na Silva Out !!!
11 years ago
Dewji Blog07 Jun
Mkazi wa Sinza kuona Kombe la Dunia kupitia promosheni ya Kwea Pipa na TBC
Na Mwandishi Wetu
Promosheni ya Kwea Pipa na televisheni ya Taifa ya TBC kwa kushirikiana na kampuni ya Push Mobile Media Limited imezidi kupamba moto baada ya mshindi mmoja zaidi kupatikana.
Deocary Mkenda ambaye ni mkazi wa Sinza ameungana na wenzake wawili ambao wamekwisha zawadiwa tiketi zao na sasa kampuni ya Push Mobile Media Limited inawatafutia pasipoti kwa ajili ya kusafri na kuona mechi ya Brazil na Cameroon Juni 23 mjini Rio de Janeiro.
Mkenda (35) ambaye ni Mhasibu katika...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!
CONMEBOL Qualification;
Argentina 1 – 1 Brazil
Peru 1 – 0 Paraguay
CONCACAF Qualification;
USA 6 – 1 Saint Vincent
Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago
Mexico 3 – 0 El Salvador
Costa Rica 1 – 0 Haiti
Jamaica 0 – 1 Panama
CAF Qualification;
Madagascar 2 – 2 Senegal
Comoros 0 – 0 Ghana
Kenya 1 – 0 Cape Verde
Libya 0 – 1 Rwanda
Angola 1 – 3 Afrika Kusini
Niger 0 – 3 Cameroon
Liberia 0 – 1 Ivory Coast
Mauritania 1 – 2 Tunisia
Swaziland 0 – 0 Nigeria
Ratiba...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018
Mchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony
Na Rabi Hume
Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.
Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8fURey8qM/XmB4TlA3ewI/AAAAAAALhFE/CDr1F74eVukawJ-h2_rH9BuS0rrcKQHmACLcBGAsYHQ/s72-c/1c767af1-bc14-4f08-b70f-59a4c54d13d1.jpg)
UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Historia ya kombe la dunia
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s72-c/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
kombe la dunia brazil?
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s1600/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z162oVsMbik/U5qozd4We1I/AAAAAAAFqQY/ZEkvhGsuSns/s1600/f10db12d9ddf2ffdb8da742209b62024.jpg)