Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eto’o awa kocha mpya Antalyaspor

etooISTANBUL, UTURUKI

NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa klabu ya Antalyaspor ambayo inashiriki ligi ya nchini Uturuki.

Nyota huyo alijiunga na klabu hiyo Juni, mwaka huu, akiwa kama mchezaji wa kawaida, lakini kwa sasa amepewa nafasi ya kuwa kocha mkuu wa muda akichukua nafasi ya kocha Yusuf Simsek.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34, ambaye aliwahi kukipiga katika klabu ya Chelsea, alisaini mkataba wa miaka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio sababu ya Antalyaspor kumuongezea majukumu Samuel Eto’o ya kuwa kocha mchezaji …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor ya Uturuki Samuel Eto’o bado yupo katika kikosi hicho na anapewa nafasi kubwa. Stori zilizotoka December 15 zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Antalyaspor umempata majukumu mapya Samuel Eto’o ya kuwa kocha wa muda wa kikosi hiko. Stori kutoka mtandao wa cameroononline.com unaeleza kuwa Eto’o atakuwa kocha mchezaji wa […]

The post Hii ndio sababu ya Antalyaspor kumuongezea majukumu Samuel Eto’o ya kuwa kocha...

 

9 years ago

Bongo5

Sam Allardyce awa kocha mpya wa Sunderland

Klabu ya Sunderland nchini Uingereza imemteua Sam Allardyce kuwa kocha mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa kipindi cha miaka miwili. Aliyekuwa kocha Dick Advocaate alijiuzulu kuifundisha klabu hiyo na kuiacha ikiwa haijashinda mechi yoyote kati ya mechi nane ilizocheza. Timu hiyo ipo katika nafasi ya pili kutoka mwisho wa jedwali la ligi ya Uingereza. […]

 

9 years ago

Bongo5

Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki

eto

Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.

eto

Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.

Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.

Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...

 

11 years ago

GPL

Milovan awa kocha wa timu ya taifa

Kocha wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Simba, Milovan Cirkovic ameula baada ya kupata ajira mpya ya kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Myanmar. Juzi kulikuwa na sherehe maalum iliyofanywa na Shirikisho la Soka la Myanmar (MFF) kuwakaribisha makocha wote na benchi zima la ufundi akiwemo Milovan. Akizungumza na Championi Ijumaa, kutoka Myanmar Milovan amesema ameingia mkataba wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyambui awa kocha wa riadha - Brunei

Mshindi wa zamani wa medali ya fedha ya michuano ya Olimpiki, Suleiman Nyambui amepata kazi ya kuwa kocha mkuu wa Brunei.

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Assad awa CAG mpya

Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

11 years ago

Habarileo

Mukoba awa Rais mpya Tucta

Gratian MukobaMKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.

 

10 years ago

Mwananchi

Biswalo Mganga awa DPP mpya

Rais Jayaka Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), nafasi iliyoachwa wazi na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi.

 

10 years ago

Michuzi

HALIMA MDEE AWA MWENYEKITI MPYA BAWACHA

Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa (Bawacha), wakifungua shampeni kusherehekea ushindi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema Taifa, Halima Mdee (kushoto) baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo. (Picha na Francis Dande) Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bara), Hawa Mwaifunga akilia kwa furaha baada ya kushinda nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika juzi.  Wajumbe wa mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chadema wakiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani