Biswalo Mganga awa DPP mpya
Rais Jayaka Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), nafasi iliyoachwa wazi na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Biswalo Mganga DPP mpya
RAIS wa Jakaya Kikwete, amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) . Taarifa iliyotolewa Ikulu jijini Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais kwa vyombo...
10 years ago
IPPmedia07 Oct
President Kikwete appoints Biswalo Mganga new DPP
IPPmedia
IPPmedia
According to a press statement issued by the Directorate of Presidential Communications yesterday, the appointment is with effect from October 3, 2014. Acting Chief Secretary Peter Ilomo said that before his appointment Mganga served as the Assistant DPP ...
Kikwete appoints Mganga new DPPDaily News
all 2
10 years ago
Michuzi06 Oct
Biswalo Mganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka mpya
Imetolewa...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Rais amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa Mashitaka
Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatatu, Oktoba 6, 2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mganga alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka na Wakili wa Serikali...
10 years ago
Daily News07 Oct
Kikwete appoints Mganga new DPP
Daily News
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Biswalo Mganga, the new Director for Public Prosecutions (DPP), effective October 3, this year. According to a statement issued by State House's Directorate of Information in Dar es Salaam and signed by the ...
10 years ago
Mtanzania07 Oct
DPP mpya aeleza mikakati
NA BAKARI KIMWANGA, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewataka Watanzania wamwamini katika kazi na watarajie makubwa.
Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu muda mfupi baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na mtangulizi wake, Jaji Dk. Elizer Feleshi.
Alisema pamoja na kuteuliwa kuongoza ofisi hiyo, lakini hakuna aliyezaliwa na kujua kila kitu kwa siku moja huku...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Eto’o awa kocha mpya Antalyaspor
ISTANBUL, UTURUKI
NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa klabu ya Antalyaspor ambayo inashiriki ligi ya nchini Uturuki.
Nyota huyo alijiunga na klabu hiyo Juni, mwaka huu, akiwa kama mchezaji wa kawaida, lakini kwa sasa amepewa nafasi ya kuwa kocha mkuu wa muda akichukua nafasi ya kocha Yusuf Simsek.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34, ambaye aliwahi kukipiga katika klabu ya Chelsea, alisaini mkataba wa miaka...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Profesa Assad awa CAG mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mukoba awa Rais mpya Tucta
MKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.