Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biswalo Mganga awa DPP mpya

Rais Jayaka Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), nafasi iliyoachwa wazi na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Biswalo Mganga DPP mpya

RAIS wa Jakaya Kikwete, amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) . Taarifa iliyotolewa Ikulu jijini Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais kwa vyombo...

 

10 years ago

IPPmedia

President Kikwete appoints Biswalo Mganga new DPP


IPPmedia
President Kikwete appoints Biswalo Mganga new DPP
IPPmedia
According to a press statement issued by the Directorate of Presidential Communications yesterday, the appointment is with effect from October 3, 2014. Acting Chief Secretary Peter Ilomo said that before his appointment Mganga served as the Assistant DPP ...
Kikwete appoints Mganga new DPPDaily News

all 2

 

10 years ago

Michuzi

Biswalo Mganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka mpya

Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatatu, Oktoba 6, 2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mganga alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka na Wakili wa Serikali Mfawidhi.


Imetolewa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa Mashitaka

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatatu, Oktoba 6, 2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mganga alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka na Wakili wa Serikali...

 

10 years ago

Daily News

Kikwete appoints Mganga new DPP


Daily News
Kikwete appoints Mganga new DPP
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Biswalo Mganga, the new Director for Public Prosecutions (DPP), effective October 3, this year. According to a statement issued by State House's Directorate of Information in Dar es Salaam and signed by the ...

 

10 years ago

Mtanzania

DPP mpya aeleza mikakati

Biswalo MgangaNA BAKARI KIMWANGA, DAR ES SALAAM

MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewataka Watanzania wamwamini katika kazi na watarajie makubwa.

Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu muda mfupi baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na mtangulizi wake, Jaji Dk. Elizer Feleshi.

Alisema pamoja na kuteuliwa kuongoza ofisi hiyo, lakini hakuna aliyezaliwa na kujua kila kitu kwa siku moja huku...

 

9 years ago

Mtanzania

Eto’o awa kocha mpya Antalyaspor

etooISTANBUL, UTURUKI

NYOTA wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, ameteuliwa kuwa kocha wa muda wa klabu ya Antalyaspor ambayo inashiriki ligi ya nchini Uturuki.

Nyota huyo alijiunga na klabu hiyo Juni, mwaka huu, akiwa kama mchezaji wa kawaida, lakini kwa sasa amepewa nafasi ya kuwa kocha mkuu wa muda akichukua nafasi ya kocha Yusuf Simsek.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34, ambaye aliwahi kukipiga katika klabu ya Chelsea, alisaini mkataba wa miaka...

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Assad awa CAG mpya

Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

11 years ago

Habarileo

Mukoba awa Rais mpya Tucta

Gratian MukobaMKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani