Biswalo Mganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka mpya
Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatatu, Oktoba 6, 2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mganga alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka na Wakili wa Serikali Mfawidhi.Imetolewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Rais amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa Mashitaka
Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amemteua Bwana Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatatu, Oktoba 6, 2014, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Bwana Peter Ilomo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Ijumaa iliyopita, Oktoba 3, mwaka huu, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mganga alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka na Wakili wa Serikali...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Biswalo Mganga DPP mpya
RAIS wa Jakaya Kikwete, amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) . Taarifa iliyotolewa Ikulu jijini Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais kwa vyombo...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Biswalo Mganga awa DPP mpya
9 years ago
Michuzi18 Oct
Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...
10 years ago
IPPmedia07 Oct
President Kikwete appoints Biswalo Mganga new DPP
IPPmedia
IPPmedia
According to a press statement issued by the Directorate of Presidential Communications yesterday, the appointment is with effect from October 3, 2014. Acting Chief Secretary Peter Ilomo said that before his appointment Mganga served as the Assistant DPP ...
Kikwete appoints Mganga new DPPDaily News
all 2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bTg5Z0oliPY/XpmaIca-InI/AAAAAAALnOw/fMyzx6kIL3ADfrlaPEvoVY6qUjthHDy1wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B1.35.26%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
Laurean Rugambwa Bwanakunu ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s320/download%2B%25282%2529.jpg)
Taarifa iliyotolewa Dar es salaam leo, Jumatatu, Julai 6, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Ndugu Bwanakunu unaanzia Juni 23, mwaka huu, 2015.
Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Bwanakunu alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ariel Glaser Paediatric AIDS Healthcare Initiative.
Imetolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s72-c/ngonyani.jpg)
Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s640/ngonyani.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0038.jpg)
UTEUZI; MHANDISI TAMIMU TWAHA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA, MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200427-WA0038.jpg)
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imemtaja aliyeteuliwa kuwa ni Mhandisi Tamimu Twaha Katakweba. Aidha, kufuatia uteuzi huu Mhandisi Katakweba anakuwa Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa MORUWASA.
Uteuzi huu umefanyika chini ya Sheria Namba 5 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Kitengo cha...