Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DPP mpya aeleza mikakati

Biswalo MgangaNA BAKARI KIMWANGA, DAR ES SALAAM

MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewataka Watanzania wamwamini katika kazi na watarajie makubwa.

Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu muda mfupi baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na mtangulizi wake, Jaji Dk. Elizer Feleshi.

Alisema pamoja na kuteuliwa kuongoza ofisi hiyo, lakini hakuna aliyezaliwa na kujua kila kitu kwa siku moja huku...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAIBU MTENDAJI MKUU BRN AELEZA MIKAKATI YA KUBORESHA KILIMO

Naibu Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Mtokeo Makubwa Sasa! (BRN), Peniel Lyimo akizungumza katika mkutano wa wadau wa kilimo ulioandaliwa na taasisi ya ACT na kuhusisha wadau zaidi ya 100 wa sekta ya kilimo nchini ambapo alieleza jinsi BRN inavyosaidia kuboresha mazingira ya uwekezaji katika biashara na kilimo. Baadhi ya washiriki wa warsha ya wadau wa kilimo iliyoandaliwa na Baraza la Uwezeshaji Kilimo Tanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Biswalo Mganga DPP mpya

RAIS wa Jakaya Kikwete, amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) . Taarifa iliyotolewa Ikulu jijini Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais kwa vyombo...

 

10 years ago

Mwananchi

Biswalo Mganga awa DPP mpya

Rais Jayaka Kikwete amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), nafasi iliyoachwa wazi na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi.

 

10 years ago

Habarileo

Mugabe Mwenyekiti mpya AU, aeleza changamoto

Rais Robert Mugabe wa ZimbabweVIONGOZI wa Mataifa ya Afrika jana wamemchagua Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).

 

9 years ago

Bongo5

Noorah aeleza kinachomchelewesha kutoa kazi mpya

noorah

Noorah aka Baba Stylez amezitaja sababu zinazomuweka kimya kwenye muziki kwa muda mrefu, licha ya kuwa anaendelea kuingia studio na ana nyimbo nyingi ambazo amesharekodi.

noorah

“Unajua binafsi mi mwenyewe kazi zangu nimekuwa ninahamu ya kuzitoa muda mrefu kwasababu nimeshazirekodi ziko tu studio, mazingira yanakuwa yananibana unajua mashabiki hawasikilizi ngoma redioni, wanaangalia sana kwenye TV na kucomment kwamba video ya flani nzuri mbaya video ya mbaya, inabidi iendane na soko, soko...

 

10 years ago

Michuzi

Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi

Katibu mpya wa Yanga Dk. Jonas Tiboroha, ametangaza mikakati yake ya kuhakikisha Yanga inajiendesha kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba yote ya wadhamini.
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...

 

10 years ago

Mtanzania

Askofu wa Katoliki aeleza njia mpya kuzuia Katiba

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na hivyo watapita kwa Watanzania na waumini wao kuwaeleza nini cha kufanya.

Jukwaa hilo lilikutana Agosti 27 hadi 28, mwaka huu na kujadili hatima ya Bunge hilo na kutoa mapendekezo sita, moja ikiwa...

 

10 years ago

GPL

ASKOFU WA KATOLIKI AELEZA NJIA MPYA KUZUIA KATIBA

Makamu wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi. MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na hivyo watapita kwa Watanzania na waumini wao kuwaeleza nini cha kufanya. Jukwaa hilo lilikutana Agosti 27 hadi 28, mwaka huu na kujadili hatima ya Bunge hilo na...

 

10 years ago

Bongo5

Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’

Mshindi wa Serengeti Super Nyota 2012 kutoka mkoani Mbeya, Neylee amesema wimbo wake mpya ujao ‘Hasara Roho’ unaelezea changamoto mbalimbali za maisha ya binadamu na jinsi ya kuachana nazo. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa katika maisha ya binadamu kuna vitu unaweza kukutana navyo na vikakuvunja moyo. “Hasara Roho ni wimbo ambao kwanza unajieleza katika hali […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani