DPP mpya aeleza mikakati
NA BAKARI KIMWANGA, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewataka Watanzania wamwamini katika kazi na watarajie makubwa.
Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu muda mfupi baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na mtangulizi wake, Jaji Dk. Elizer Feleshi.
Alisema pamoja na kuteuliwa kuongoza ofisi hiyo, lakini hakuna aliyezaliwa na kujua kila kitu kwa siku moja huku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNAIBU MTENDAJI MKUU BRN AELEZA MIKAKATI YA KUBORESHA KILIMO
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Biswalo Mganga DPP mpya
RAIS wa Jakaya Kikwete, amemteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) . Taarifa iliyotolewa Ikulu jijini Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais kwa vyombo...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Biswalo Mganga awa DPP mpya
10 years ago
Habarileo31 Jan
Mugabe Mwenyekiti mpya AU, aeleza changamoto
VIONGOZI wa Mataifa ya Afrika jana wamemchagua Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).
9 years ago
Bongo517 Dec
Noorah aeleza kinachomchelewesha kutoa kazi mpya
![noorah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/noorah-300x194.jpg)
Noorah aka Baba Stylez amezitaja sababu zinazomuweka kimya kwenye muziki kwa muda mrefu, licha ya kuwa anaendelea kuingia studio na ana nyimbo nyingi ambazo amesharekodi.
“Unajua binafsi mi mwenyewe kazi zangu nimekuwa ninahamu ya kuzitoa muda mrefu kwasababu nimeshazirekodi ziko tu studio, mazingira yanakuwa yananibana unajua mashabiki hawasikilizi ngoma redioni, wanaangalia sana kwenye TV na kucomment kwamba video ya flani nzuri mbaya video ya mbaya, inabidi iendane na soko, soko...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s72-c/Untitled-1.jpg)
Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s1600/Untitled-1.jpg)
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Askofu wa Katoliki aeleza njia mpya kuzuia Katiba
![Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Askofu-Severin-Niwemugizi.jpg)
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na hivyo watapita kwa Watanzania na waumini wao kuwaeleza nini cha kufanya.
Jukwaa hilo lilikutana Agosti 27 hadi 28, mwaka huu na kujadili hatima ya Bunge hilo na kutoa mapendekezo sita, moja ikiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MYTLNLYpF2RkqiaGdcgk5Dk6Jdl*YyKZPYkBrpwyc-EdINJvVtXkR4o*oKEilw2VeC3r1R42gRg-sGbMwE1ebAj/AskofuSeverinNiwemugizi.jpg?width=650)
ASKOFU WA KATOLIKI AELEZA NJIA MPYA KUZUIA KATIBA
10 years ago
Bongo520 Oct
Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’