Mukoba awa Rais mpya Tucta
MKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Mukoba rais mpya Tucta
![Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Gratian-Mukoba.jpg)
Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amewabwaga ameshinda nafasi ya rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Mukoba alipata kura 172 huku mpinzani wake wa karibu, Mbaraka Igangula, akipata kura 110 na Peter Omollo alipata kura 68 wakati mwanahabari Dismas Lyasa aliambulia kura tano.
Hata hivyo, uchaguzi huo ulitawaliwa na mizengwe miongoni wa...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Makinda awa Rais mpya Bunge la SADC
MKUTANO wa 36 wa Bunge la nchi wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), umemchagua kwa kishindo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kuwa Rais wa Bunge hilo kwa kipindi cha miaka miwili ijayo.
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.
9 years ago
Habarileo03 Dec
TUCTA yavutiwa na Rais Magufuli
SHIRIKISHO la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeunga mkono kazi inayofanywa na Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wake, Kassim Majaliwa kwa kuwa kinachofanywa na viongozi hao, ndicho ambacho wafanyakazi wamekuwa miaka yote wakitaka Serikali zilizotangulia, zifanye ili maslahi yao yawe mazuri.
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cm4yBkdOv2E/VVtRyQ_ItLI/AAAAAAAAb8Q/QQsCnqh2H5A/s320/7.jpg)
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Na Immaculate Makilika na Lydia Churi – MAELEZO, DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli na TUCTA wakubaliana haya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewahakikishia viongzoi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kuimarisha zaidi ushirikiano kati yake na wafanyakazi kwa manufaa ya Taifa.
Rais Magufuli amefanya mazungumzo hayo, Alhamisi hii Ikulu jijini Dar es salaam, sambamba na hilo amesema kuwa pamoja na kuimarisha ushirikiano huo serikali iko tayari kupokea ushauri na maoni yatakayotolewa na vyama vya wafanyakazi wenye...
11 years ago
Mwananchi04 May
Tucta ifuatilie utekelezaji wa ahadi za Rais