Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazuka:Mpira utakaotumika Brazil

Je kifaa hiki kitaweza? Hilo ndilo swali linaloulizwa na wengi kuhusu Brazuca, mpira utakotumika wakati wa kombe la dunia Brazil

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

MPIRA UTAKAOTUMIKA KWENYE LIGI YA UINGEREZA "EPL" 2015/16

Imebaki miezi miwili barani Ulaya kabla ya Ligi mbalimbali kuanza kutimua vumbi, mpira rasmi utakaotumika kwenye ligi ya England tayari umefahamika.Mpira huo umebuniwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Kimarekani ya Nike ambapo utakuwa unafahamika kwa jina la Nike Ordem na umetengenezwa kwa kuzingatia teknolojia ya kisasa ambayo inaendana na mabadiliko ya mchezo wa soka.

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking...

 

11 years ago

CloudsFM

BAADA YA KUIBAMIZA CAMEROON, BRAZIL KUCHUANA NA CHILE JUMAMOSI #Brazuka

Baada ya jana kuibamiza timu ya Cameroon kwenye michuano ya kombe la dunia, timu ya Brazili ili kwenda mbele zaidi katika hatua ya robo fainali kunategemea na mechi yao dhidi ya Chile, mechi hiyo itachezewa jijini Belo Horizonte siku ya Jumamosi wakiwa na imani mpya ya kunyakua taji hilo.

 

11 years ago

CloudsFM

#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio

 

#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio Brazuka kampeni Dotto Madali akiwa ndani ya uwanja akiangalia mechi ya Jumamosi kati ya Iran vs Argentina....

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka

uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanane washinda kampeni ya Brazuka

WASHINDI nane walioshiriki kutuma ujumbe katika shindano la Brazuka, wamejinyakulia zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu na ‘smartphone’. Akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa zawadi kwa washindi hao, Mratibu wa...

 

11 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA MFUMO UTAKAOTUMIKA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA KUPIGA KURA.

 Mjumbe wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu John Mkwawa  wakati akisoma taarifa wakati   akifungua mkutano wa siku moja na waandishi wa habari wa Mkoa wa Iringa unaohusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na matumizi ya Teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration uliofanyika katika ukumbi wa ofisi za mkuu wa mkoa wa Iringa.  Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo wa NEC kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya...

 

11 years ago

GPL

WANANE WATWAA ZAWADI ZA AWALI ZA BRAZUKA

Mshindi wa kwanza wa Brazuka, Eric Vemberini, aliyejishindia simu, jezi ya Neymar wa Brazil na pesa taslimu shilingi 50,000 akitokea Dar es Salaam.
Mshindi wa pili, Rose Kanyaso, wa Dar es Salaam  akipokea zawadi yake ya jezi ya Ivory Coast ya Yaya Toure na pesa taslimu elfu 50.…

 

10 years ago

Michuzi

TAMISEMI YAWEKA BAYANA utaratibu utakaotumika hapo kesho wakati wa upigaji kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akiwaeleza waandishi wa Habari kuhusu utaratibu utakaotumika hapo kesho wakati wa upigaji kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa mbili asubuhi (2:00) hadi saa kumi alasiri (10:00) ambapo wananchi wote watakaokuwepo vituoni hadi kufikia muda huo wataruhusiwa kupiga kura hadi watakapokuwa wamemalizika.Kushoto ni Mratibu wa uchaguzi huo bw.Denis...

 

11 years ago

CloudsFM

WACHEZAJI WA UJERUMANI WAUGUA MAFUA ZIKISALIA SAA CHACHE KUINGIA DIMBANI #Brazuka

Wachezaji saba wa Ujerumani, wanaugua mafua,saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa. Kocha Joachim Low amesema kuwa wengi wanaumwa na koo ingawa hakutaja majina ya wachezaji wagonjwa."Ni mapema sana kufanya uamuzi wowote kuhusu orodha ya wachezaji watakaoingia uwanjani, '' alisema Low Mats Hummels na Christoph Kramer waliugua mapema wiki hii huku Mat akikosa mechi ya muondoano dhidi ya Algeria Jumatatu.
Low anaamini kuwa mazingira ya Brazil na safari za hapa na pale...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani