BAADA YA KUIBAMIZA CAMEROON, BRAZIL KUCHUANA NA CHILE JUMAMOSI #Brazuka
Baada ya jana kuibamiza timu ya Cameroon kwenye michuano ya kombe la dunia, timu ya Brazili ili kwenda mbele zaidi katika hatua ya robo fainali kunategemea na mechi yao dhidi ya Chile, mechi hiyo itachezewa jijini Belo Horizonte siku ya Jumamosi wakiwa na imani mpya ya kunyakua taji hilo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili
11 years ago
Michuzi
brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Chile kuchuana na Uhispania
11 years ago
TheCitizen28 Jun
BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia
11 years ago
BBCSwahili14 May
Brazuka:Mpira utakaotumika Brazil
11 years ago
CloudsFM23 Jun
#BRAZUKA Mshindi wa tiketi ya kwenda Brazil kupitia Cloudsfm Radio





11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
BRAZIL 2014: Ishu ya posho yamalizwa, Cameroon yaenda Brazil
11 years ago
BBCSwahili28 Jun