Wafanyakazi wahamiaji walalamikia kutupwa nje ya ubalozi wa Ethiopia mjini Beirut
Wafanyakazi wahamiaji walalamikia kutupwa nje ya ubalozi wa Ethiopia mjini Beirut wakati nchi hiyo ikikabiliwa na athari za kiuchumi kutokana na janga la corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NCHI ZA NJE BALOZI LIBERATA MULAMULA AAGANA RASMI NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WASHINGTON DC.
11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Wahamiaji 64 kutoka Ethiopia wakamatwa
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
11 years ago
GPLIDARA YA UHAMIAJI MBEYA INAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ciywewNmzfo/XnVU8uKgzQI/AAAAAAALklk/nG3lxTS7miQyKwpOvhT8GFVXFOgBqnEJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 51 TOKA ETHIOPIA WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Tanzania: Wahamiaji haramu raia wa Ethiopia warejeshwa kwao, wengine zaidi kurejeshwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA WADAKWA LINDI BAADA YA AJALI YA GARI LAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b0NvQ6lMJYU/VjEQn_wjYXI/AAAAAAAIDRg/gbD3yTPWNEo/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zHYbSIGCC8/VjEQoMug7HI/AAAAAAAIDRo/klyJKPm_PqQ/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)