Mkazi wa Iringa ajishindia milioni 10 za Tusua Mapene na Vodacom
![](https://1.bp.blogspot.com/-aj8-zhJq6ng/Xq7flmVAx-I/AAAAAAAEG6E/kiGn057nfHkHfGzgQbrR63i9yDpuPHXXwCLcBGAsYHQ/s72-c/1ccfba33-71bc-4676-8dd9-7453d5ee54e3.jpg)
Mshindi wa mwezi Machi wa shindano la TUSUA MAPENE NA VODACOM, Sharabi Myovela( mwenye fulana nyekundu) mkazi wa Iringa akiwa na familia yake mara baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 toka kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8XJHP8_b0w/XuC2NeqdhlI/AAAAAAALtUY/vQgZZNPc3_EYC9_q4fr5Ro2Ffs0ByBxtwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaendelea kuzawadia wateja wake wa shindano la Tusua Mapene
![](https://1.bp.blogspot.com/-E8XJHP8_b0w/XuC2NeqdhlI/AAAAAAALtUY/vQgZZNPc3_EYC9_q4fr5Ro2Ffs0ByBxtwCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
Meneja mauzo wa Vodacom Njombe, Benedict KItogwa (kulia) akimkabidhi mshindi wa wiki wa bahati nasibu ya Tusua mapene na Vodacom, Vitus Gama mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10. Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WhQWBqZ5_FI/VTN1F_GjPuI/AAAAAAAHR9w/rAilCeOPvgo/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkazi wa Kawe jijini Dar ajishindia Kitita cha Tsh milioni 100 za Jaymillions
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYgl3*MpUKOMv3aZvsf8-5t1wzdXKHToo4EVFQgQEPtueOaQsTRzPRKfSNvgDEXEm6Xi4hKPNmjmvI5Z9xIho3R/002.jpg?width=650)
MKAZI WA KAWE JIJINI DAR AJISHINDIA KITITA CHA TSH MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mkazi Nyegezi ajishindia tiketi kwenda Brazil
JASMEN Noah, mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, atakuwa mmoja wa maelfu ya mashabiki wa soka kutoka sehemu mbalimbali duniani wataokwenda Brazil kushuhudia ‘live’ kindumbwendumbwe cha michuano ya Kombe la Fifa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2YOfsbXcR8/VHzBQBitshI/AAAAAAAG0pU/X3md2KVGeaE/s72-c/unnamed.jpg)
MKAZI wa Kijichi ajishindia nafasi ya kutembelea hifadhi ya wanyama ya Selous kupitia Ndovu Golden Experience
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa bia ya Ndovu Victoria Kimaro alisema, mshindi huyu ameibuka kidedea baada ya kuwagaragaza wenzake katika kampeini hiyo na kupata nafasi ya kwenda katika hiyo hifadhi na mtu mmoja.
Victoria alisema, lengo la kuanzisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PuaM388LPz8/Xs4eAiUdf_I/AAAAAAAEHVQ/sgKzNHGLPMAj0ZD0n1oPZoezMLMh0A56gCK4BGAsYHg/s72-c/Arusha%2BTusua%2Bmapene2.jpg)
Vodacom yaendelea kuwezesha wateja wake kwa Kutusua Mapene
Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Unaponunua tiketi, moja kwa moja unaingia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MJASIRIAMALI AJISHINDIA MILION 10 ZA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-50IjcHtOrHI/VMjS8ZDYGhI/AAAAAAAG_5M/7AxLpoVDP8g/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4wTzHcDLclc-oQCciZSr1WFuga*dRrBK9LK4sRrV1k-luMJ9FAnLf4Gn*kIDPaorPMyacQKZIj6CdqkVULIGlzb/001.JAY.jpg)
MJASIRIAMALI AJISHINDIA MILION 10 ZA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReAt*SvSINcgBFSx*cxca6SI49EIsuP8qYwH69MCWOLujFKk6CmctPia3tv*iM9IL*k5iNXMmCOVIHBMqUmpTZC/001Iringa.jpg?width=650)
WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA