FA yamtoza faini Mourinho
Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu Meneja wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kampuni za simu zatozwa faini
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amebaini kuwepo kwa wafanyakazi wa kigeni, walioletwa na kampuni za simu za mkononi kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania ikiwemo kufunga meza na viti vya kukalia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmMMVmkdun5Oe0atQe87OMbumH2s9ZMkt8LmMUctv4wPFZdgveHAXkv*5anmdxLtedkH8*qrsktfpuEr1vXofpFi/Front.jpg?width=650)
AFUMANIWA AJIPIGA FAINI MIL. 3
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Darron Gibson apigwa faini
9 years ago
Habarileo09 Dec
Ukichafua Sumbawanga faini elfu 50/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya kuwa itatoza faini ya Sh 50,000 kwa wakazi wa mjini Sumbawanga watakaobainika kutiririsha maji machafu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki kuwa safi na salama.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
10 years ago
Habarileo08 Sep
Faini barabarani zaingiza mabilioni
OPERESHENI ya kukamata madereva wanaofanya makosa ya barabarani, inayoendana na utozaji wa faini nchini, imeliingizia Jeshi la Polisi mabilioni ya shilingi. Akizungumza na gazeti hili juzi, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema mapato yatokanayo na makosa hayo yaliyokusanywa kwa miezi sita mwaka huu, yamezidi makusanyo yote yaliyofanyika mwaka jana.