Ukichafua Sumbawanga faini elfu 50/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya kuwa itatoza faini ya Sh 50,000 kwa wakazi wa mjini Sumbawanga watakaobainika kutiririsha maji machafu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki kuwa safi na salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio)
Stori ya aina yake ilitoka Tanzania December 09 2015, sherehe ya uhuru ikaadhimishwa kwa kufanywa usafi kila kona.. lilikuwa agizo la Rais Magufuli na yeye pamoja na viongozi wote wa juu wa Serikali walishiriki kwa 100% kuhakikisha agizo linatekelezwa. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akajiongeza hatua moja mbele, akasema usafi ni kila Jumamosi ya mwisho […]
The post Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio) appeared first on...
11 years ago
BBCSwahili08 May
Barclays kupunguza wafanyakazi elfu 19
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
uzi wa zaidi ya miaka elfu 50 wapatikana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGONJWAAAA-2-001.jpg)
‘ELFU 60 TU ZINANIPELEKA KABURINI’
10 years ago
StarTV15 Jan
Wanafunzi elfu kumi wakatisha masomo Mbeya.
Na Mkombe Zanda
Mbeya.
Wanafunzi 10,881 wa shule za Msingi na Sekondari mkoani Mbeya wameacha masomo mwaka 2014 kutokana na sababu mbalimbali utoro ukitajwa kuongoza kukatisha masomo ya wanafunzi hao.
Hali hiyo imesababisha mkoa wa Mbeya kufaulisha asilimia 47 pekee ya wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 hivyo kushindwa kufikia kiwango cha ufaulu kitaifa ambacho ni asilimia 70 chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, BRN.
o que fazer viagra para homens
Idadi...
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Watu 76 elfu wauawa nchini Syria 2014
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Nagasaki yakumbuka bomu iliyoua watu elfu 70
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mayweather kulinda meno kwa dola elfu 25
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya