Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukichafua Sumbawanga faini elfu 50/-

HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya kuwa itatoza faini ya Sh 50,000 kwa wakazi wa mjini Sumbawanga watakaobainika kutiririsha maji machafu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki kuwa safi na salama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio)

Stori ya aina yake ilitoka Tanzania December 09 2015, sherehe ya uhuru ikaadhimishwa kwa kufanywa usafi kila kona.. lilikuwa agizo la Rais Magufuli na yeye pamoja na viongozi wote wa juu wa Serikali walishiriki kwa 100% kuhakikisha agizo linatekelezwa. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akajiongeza hatua moja mbele, akasema usafi ni kila Jumamosi ya mwisho […]

The post Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Barclays kupunguza wafanyakazi elfu 19

Benki ya Barclays ya Uingereza imepanga kupunguza wafanyakazi 19,000 ifikapo mwaka 2016.

 

5 years ago

BBCSwahili

uzi wa zaidi ya miaka elfu 50 wapatikana

Uzi unaoaminika kuwa wa zaidi ya miaka elfu 50 wapatikana katika pango moja nchini Ufaransa

 

9 years ago

GPL

‘ELFU 60 TU ZINANIPELEKA KABURINI’

Emakulata John akiugulia. Aeleza alivyoanza kuugua hadi alipo sasa Na Haruni Sanchawa MWANAMKE mmoja, Emakulata John, 28, amekuwa akiugua kwa miaka zaidi ya kumi bila msaada wowote wa uhakika wa kitabibu na hali yake kwa sasa ni mbaya, hivyo kuwalilia Watanzania ili waweze kuokoa maisha yake. Hivi sasa Emakulata hasikii, haoni vizuri wala hawezi  kutembea kutokana na maradhi yaliyomuandama kwa kipindi kirefu sasa na...

 

10 years ago

StarTV

Wanafunzi elfu kumi wakatisha masomo Mbeya.

Na Mkombe Zanda

Mbeya.

Wanafunzi 10,881 wa shule za Msingi na Sekondari mkoani Mbeya wameacha masomo mwaka 2014 kutokana na sababu mbalimbali utoro ukitajwa kuongoza kukatisha masomo ya wanafunzi hao.

 

Hali hiyo imesababisha mkoa wa Mbeya kufaulisha asilimia 47 pekee ya wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 hivyo kushindwa kufikia kiwango cha ufaulu kitaifa ambacho ni asilimia 70 chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, BRN.

o que fazer viagra para homens

 

Idadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 76 elfu wauawa nchini Syria 2014

Watu 76 elfu wameuawa katika mgogoro wa Syria katika mwaka 2014 pekee.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nagasaki yakumbuka bomu iliyoua watu elfu 70

Ibada maalumu za ukumbusho zinaendelea katika mji wa Nagasaki,Japan, kuadhimisha miaka 70 tangu bomu ya atomiki kuua watu elfu 70 mjini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather kulinda meno kwa dola elfu 25

Mayweather atatumia kifaa cha kulinda meno chenye gharama ya dola za kimarekani elfu ishirini na tano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya

Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani