Wanafunzi elfu kumi wakatisha masomo Mbeya.
Na Mkombe Zanda
Mbeya.
Wanafunzi 10,881 wa shule za Msingi na Sekondari mkoani Mbeya wameacha masomo mwaka 2014 kutokana na sababu mbalimbali utoro ukitajwa kuongoza kukatisha masomo ya wanafunzi hao.
Hali hiyo imesababisha mkoa wa Mbeya kufaulisha asilimia 47 pekee ya wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 hivyo kushindwa kufikia kiwango cha ufaulu kitaifa ambacho ni asilimia 70 chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, BRN.
o que fazer viagra para homens
Idadi...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wanafunzi wakatisha masomo
SHULE ya sekondari Hunyari iliyoko katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na changamoto ya utoro mkubwa wa wanafunzi kutokana na baadhi yao kukatisha masomo kwa kuo, kuolewa na wengine...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
10 years ago
Habarileo22 Nov
808 wakatisha masomo Rukwa kwa mimba
WANAFUNZI wa kike wapatao 808 kutoka shule za msingi na sekondari mkoani Rukwa wamekatiza masomo yao baada ya kupata ujauzito katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
10 years ago
Michuzi12 Nov
ZAIDI YA WANARIADHA ELFU KUMI NA TANO KUSHIRIKI UHURUMARATHON 2014
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mratibu wa mbio hizo, Innocent Melleck, alisema kuwa maandalizi yako katika hatua za mwisho huku akimtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, anatarajiwa kuongoa mbio hizo.
Melleck pia alikabidhi ada ya Sh. Milioni mbili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4MBFlBxiwig/XmojeQgoIOI/AAAAAAALiwc/8mD9ccHzgqQ8rAcRyrvWWlilEmDLm5WZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200312_104115_9.jpg)
SERIKALI YAWAPUNGUZIA MZIGO WAJASILIAMALI WADOGO, KUSAJILI KEMIKALI KWA SH.ELFU KUMI
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko wakati akifunga mafunzo kwa wajasiliamali wadogo jijini Dar es Salaam leo huku akitoa vyeti kwa kila mshiriki wa mafunzo hayo juu matumizi sahihi ya kemikali wanazotumia kutengeneza bidhaa mbalimbali.
"Kwa kila kemikali kwa...
10 years ago
MichuziWATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI
10 years ago
Vijimambo19 Mar
WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINIâ€
10 years ago
GPLWATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI
9 years ago
Michuzi02 Nov
HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16
![1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/sX2k0-AXtQ4aqN4w8oa3pcb7KodDnKJmBW78-JVO_gTvSHGlxm_h3GWBHhuR7mjPEtFgtimAwI1Jr_-9cyeeQDZBH602YtYafUfEvUGGl9ym7Z8sUw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/1.jpg)
![2](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/V-HLiJ3GVxkskmh-ybRWanHt_PCSEufwdmoSCPGIt8t8PsJ1abhh4XMs-e6rZWnoQfHhOSePBceuwzP4I5_XriEo-GVjyAw2tnjgfVlPxf8SHc8mVg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/2.jpg)
![3](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xs6vkqYfkDjUxVodrOcbdtn6KsNJuHUR7h8DZe4reSkd3kNC-EyKY4460IL1JV-vAMhK7EvNznYDZwXDSJg-sUy_4E-JdbjciSsgijKzda5KyEzEKA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/3.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10