Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faini ya FA ni fedheha asema Mourinho

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema Faini ya Pauni 50,000 aliyotozwa na chama cha soka cha England (FA) ni fedheha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya asema kuhama CCM ni fedheha

MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema kuwa kwake ni fedheha kubwa kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani itakuwa sawa na kulamba matapishi yake mwenyewe.

 

9 years ago

BBCSwahili

FA yamtoza faini Mourinho

Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu Meneja wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho

 

9 years ago

Mwananchi

Mdomo wamponza Mourinho afungiwa, kupigwa faini

Klabu ya Chelsea na kocha wake, Jose Mourinho wamepinga uamuzi wa Chama cha Soka (FA) kumwadhibu kocha huyo kwa kauli alizozitoa karibuni.

 

9 years ago

Bongo5

Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu

Peter Msechu

Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.

Peter Msechu

Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.

baghdad wa zamani na sasa
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani

“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...

 

9 years ago

Bongo5

Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.

Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.

Wiki hii...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hataenda likizo

Jose Mourinho hataenda likizoni baada yake kufutwa na Chelsea Alhamisi, wakala wake amesema kupitia taarifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hajazoea kushindwa

Mourinho amesema amezoea sana kushinda na ametatizika kiasi kuzoea hali baada ya Chelsea kuanza vibaya kampeini ya ligi Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema Chelsea itashinda ligi

Kilabu ya Chelsea itashinda ligi ya Uingereza,kocha wa kilabu hiyo Jose Mourinho amebashiri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho asema hana wasiwasi kuhusu kazi yake

Mourinho amesisitiza kwamba hana wasiwasi kuhusu kazi yake kama meneja wa Chelsea huku klabu yake ikijiandaa kukabili LIverpool.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani