DUKA LA NAKIETE LATOA MSAADA HOSPITALI YA SINZA
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda Akipokea Msaada kutoka Kwa Mkurugenzi wa Duka la Dawa la Nakiete Bi Batilda.Duka la Dawa la Nakiete Limetoa msaada katika Hospitali ya Sinza.Vitu Mbalimbali vilitolewa na duka hilo vyenye Dhamani ya Shilingi milioni 6.Mkurugenzi wa Nakiete Akieleza zaidi kuhusu msaada huo amesema hiyo ni sehemu ya faida waliyopata kwa Mwaka uliopita wakaona ni vema kurudisha sehemu ya faida hiyo kwa jamii.Alisema Hospitali inakabiliwa na changaamoto nyingi lakini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
Hospitali Sinza yalemewa
HOSPITALI ya Sinza katika Manispaa ya Kinondoni inakabiliwa na msongamano mkubwa unaodaiwa kuchangia kuzorota utoaji wa huduma kwa wagonjwa. Diwani wa Kata ya Sinza, Renatus Pamba alitoa taarifa hiyo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani la manispaa hiyo.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Kanisa latoa msaada wa vyandarua 2,700
MADHEHEBU ya dini nchini yametakiwa kueneza upendo na kujali maisha ya watu bila kujali itikadi na imani zao ili kuleta utengamano wa kitaifa.
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi NMB waifanyia usafi Hospitali ya Sinza, Palestina
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s640/IMG_0148.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x0uOVXjB4Lk/VmfzUMCHS8I/AAAAAAAAFoA/VROu1eVtwSM/s640/IMG_0129.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1.Ofisa-uhusiano-wa-Global-Publishers-Soud-Kivea-katikati-akizungumza-jambo-mbele-ya-wanahabari-hawapo-pichani..jpg?width=620)
UWAZI LATOA MSAADA WA VITI VYA WAGONJWA, MOI
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato
Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.
Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.
Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.
Na Alphonce Kabilondo, Chato
KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HOq1uWtpRNA/VJbyN0z-ylI/AAAAAAACwro/KsF7zRrCNqY/s72-c/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
Shirika la PSPF latoa msaada wa madawati jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-HOq1uWtpRNA/VJbyN0z-ylI/AAAAAAACwro/KsF7zRrCNqY/s1600/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oT_oGIZ5VJ0/VJbyM8iswJI/AAAAAAACwrg/fSd7q2DBisE/s1600/MADAWARTI_CHANIKA6.jpg)
10 years ago
MichuziJWTZ LATOA MSAADA KWA WAZEE NA MAYATIMA ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s72-c/IMG_0148.jpg)
Wafanyakazi NMB Waifanyia Usafi Hospitali ya Sinza, Parestina jijini Dar.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tes8G59CHIk/VmfzVfTKEmI/AAAAAAAAFps/t86A9C1AMbM/s640/IMG_0148.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJ7MPefyGW8/VmfzV2KYD9I/AAAAAAAAFoc/bhAr8YIc_AY/s640/IMG_0158.jpg)
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...