Shirika la PSPF latoa msaada wa madawati jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-HOq1uWtpRNA/VJbyN0z-ylI/AAAAAAACwro/KsF7zRrCNqY/s72-c/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
Afisa Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (Kushoto), akipena mikono na Ummy Shaaban, mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Buyuni II, iliyoko Chanika, wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam,wakati akikabidhi msada wa madawati kwa ajili ya shule hiyo mwishoni mwa wiki. (Katikati ni mwalimu mkuu wa shule hiyo, Rogather Palla.
Afisa Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Njaidi, (Kushoto), akitoa elimu kupitia vipeperushi kwa baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi msaada wa madawati kwa shule ya Msingi Maweni-Kigamboni,Jijini Dar
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s72-c/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA VYAKULA VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s1600/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA CHILDBIRTH SURVIVAL INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KAYA ZAIDI YA 50 JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Shirika la Childbirth Survival International (CSI),nchini Tanzania Stella Mpanda(katikati) akitoa msaada wa vyakula kwa moja ya wakazi wa Kata ya Mazizini jijini Dar es Salaam leo Mei 2 mwaka 2020.Msaada huo ni kwa ajili ya kuziwezesha kaya za watu wasiojiweza katika kipindi hiki cha janga la Corona.Kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba akikabidhi msaada wa vyakula kwa mwaanchi wa Kata ya Mazizini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-KP7A3VjgMnY/VJZ3qCiNdiI/AAAAAAAAOeI/1ID5k5G9lk4/s72-c/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
PSPF YATOA MSADA WA MADAWATI BUYUNI II - CHANIKA, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-KP7A3VjgMnY/VJZ3qCiNdiI/AAAAAAAAOeI/1ID5k5G9lk4/s640/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P6mUH_ym5E0/VJZ3rkioxoI/AAAAAAAAOeQ/numELaqSgxA/s640/MADAWATI_CHANIKA2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JHv4RUjS_tA/VJZ3vVnljEI/AAAAAAAAOeY/YwNEwIax_CM/s640/MADAWATI_CHANIKA3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_BQ2463uMU/VkDy-yC2B1I/AAAAAAAIFH0/CadFAzI4WWw/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Msaada wa madawati kwa shule 15 za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_BQ2463uMU/VkDy-yC2B1I/AAAAAAAIFH0/CadFAzI4WWw/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s72-c/magodoro1.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-5uF7oHUYKs4/VdsgPhEGgmI/AAAAAAAAYLw/g5nGhl871Qo/s640/magodoro1.jpg)