Viboko vyatembezwa makaburini
Jiji la Mwanza
NA VICTOR BARIETY, SENGEREMA
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wa jijini Mwanza, wamecharazwa bakora na watoto wa marehemu baada ya kung’ang’ania kaburini wakitaka kupewa fedha.
Tukio hilo la aina yake lilitokea katika Kitongoji cha Nyamwanza, Kata ya Sima, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza juzi muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kuwasili eneo la mazishi ukitokea Kanisa la Roman Catholic Parokia ya Yesu Kirsto Mfalme la mjini Sengerema.
Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO56RE4H6BByy2HtjMq8W2VIuu415zuuZbOlf1GUsd1ssTDdlUFfXBD1TC6Ly3n68a3w410ODdkJQMA8ZBCF80kK/ajabunsana.jpg?width=650)
MTOTO AISHI MAKABURINI
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
WAKATI sehemu ya makaburi imekuwa ikiogopwa na watu wengi kutokana na ukweli kwamba ni makazi ya wafu, hali ni tofauti kwa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 8-9 ambaye jina lake halikuweza kufahamika, kuishi katika makaburi ya Kigilagila, Yombo jijini Dar es Salaam kwa zaidi ya mwezi mmoja. Taarifa zilizopatikana kutoka eneo la tukio na baadaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJw0oxHTWOPVCxcDMqJdKpgqbfBZM4JBVa7iWBQyb45-vNG7SFfXUHeJIYXL1*IoVNbhd7l4THpsgLUBSVFGvGl/CHEKANAKITIME.jpg)
KIZAAZAA SINZA MAKABURINI!
Timbwili lililotokea juzi, ndiyo lile hasa linaloitwa nguo kuchanika. Maana zilianza ngumi za pande tatu. Maana ikawa hata haieleweki nani anamtandika nani, na kutokana na mkasa mzima, sisi wananchi wema ililazimika tukae pembeni tumekodoa macho, huku hatuelewi kitu gani tufanye. Sababu ya timbwili hili mimi kama raia mwema nasema lilianzishwa na ubovu wa barabara, najua wengine mtakuja kusema barabara haihusiki lakini ki ukweli...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mila zazua mtafaruku makaburini
Matafaruku mkubwa umetokea baada ya ndugu wa marehemu, kumpasua tumbo ndugu yao na kumuwekea kifaranga cha kuku wakati akizikwa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhS-GLjtoXPns8ySoIlPX3sD*tqAEYDCl5TcCFRRDGxnZ5fhy7XkQzFWb6r0*7eBoswZHCn*VKT8Lo4aQrzWJrz*/Auawaz.jpg)
MREMBO APELEKWA MAKABURINI, AUAWA
Hilda Mwita enzi za uhai wake. Chande AbdalLah na Gabriel Ng’osha MAJONZI! Mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la Hilda Mwita (29) mkazi wa Kisanga, Bunju A jijini Dar, anadaiwa kupelekwa eneo la makaburini, ambako alibakwa hadi kufa, Risasi Jumamosi lina kisa kizima. Tukio hilo la kuhuzunisha, lilitokea hivi karibuni, baada ya…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dIvgotCq_5I/U26PgulkViI/AAAAAAAFgws/5g1JHUR3sCA/s72-c/20140510_105601.jpg)
KITUO CHA DALADALA SINZA MAKABURINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dIvgotCq_5I/U26PgulkViI/AAAAAAAFgws/5g1JHUR3sCA/s1600/20140510_105601.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6LgsQB7k8KCHup45xDnLf7xXNwXiAlE-6sLiYBoImU5QHi3LBBc9KWP4PO4*pCEsDe5reNVFI2g7OOKsG8NlqDs/safariyakuelekeamakaburini1.jpg?width=650)
10 years ago
GPLMAMA KANUMBA AONGOZA IBADA FUPI MAKABURINI
Mama Kanumba akionesha uso wa huzuni baada ya kufika makaburini kwa ajili ya kumkumbuka mtoto wake marehemu, Steven Kanumba. Mama Kanumba akiwasha mshumaa kama ishara ya kumbukumbu ya mwanaye.…
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Raia wa Afrika Kusini akutwa amekufa makaburini Dar es Salaam
Tukio la kuokotwa mwili wa raia wa Afrika Kusini makaburini jijini Dar es Salaam hivi karibuni kumeacha maswali mengi huku polisi wakilipiga danadana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s72-c/FIMBO.jpg)
Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s400/FIMBO.jpg)
Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania