Halima Mdee- 'Nimekula bata' rumande
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee (35) na wenzake wanane wameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mdee na wanachama wengine wanane waliachiwa jana mchana baada ya kutimiza masharti.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania