Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO AMEAGA DUNI KWA KUSHAMBULIWA NA FISI

SALVATORY NTANDUWazazi na Walezi Mkoani Shinyanga wametakiwa kuchukua tahadhari kwa watoto wao dhidi ya  wanyama aina ya Fisi ambao wamekuwa wakionekana katika maeneo mbalimbali  na kusababisha madhara kwao ikiwemo ya vifo.
Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba June 2 wakati akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na tukio la kushambuliwa  hadi kufariki dunia kwa mtoto wa miaka miwili na nusu  aliyehamika kwa jina la Charles Christian katika...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wakazi Bariadi wahofu kushambuliwa na fisi

WAKAZI wengi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameingiwa na hofu baada ya kuwepo kwa matukio mfululizo ya watu kushambuliwa na fisi hadi kufa katika maeneo mbalimbali mjini hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Babake mtoto Mpalestina aliyechomwa, ameaga

Babake mtoto wa kipalestina aliyechomwa moto hadi akafa na walowezi wa kiyahudi katika eneo la (West Bank) ameaga dunia.

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA MKOANI KATAVI AMEAGA DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO

Wananchi wa Kijiji cha Kasekese Mkoa wa Katavi wasaidi kuzima moto uliodaiwa kuwa kuna mpangaji moja (jina tumelihifadhi) aliyekuwa akiandaa kupika chakula huku chumbani humo kukiwa na mafuta ya petroli kwa maandalizi ya kwendanayo shambani alipokuwa anatarajia kuamkia huko shambani kwake.

Katika nyumba hiyo yenye vyumba tisa vya wapangaji nyumba ya bwana Visent Emanuel ambapo chanzo cha habari kilichotufikia Juni 3, 2020, Mpangaji huyo alitoka nje kujiokoa na baada ya kutoa vyombo lakini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wauawa kwa kushambuliwa na kombora

Wizara ya afya katika ukanda wa Gaza imeeleza kuwa watu wapatao kumi wameuawa kutokana na shambulizi la makombora.

 

9 years ago

Mtanzania

Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi

Msanii na FISI...NA TWALAD SALUM, MISUNGWI

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, imemhukumu msanii wa ngoma za asili, Mng’ahwa Kazanza (42), kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kumiliki fisi wawili na kuwatumia kwenye sanaa zake bila kibali.

Awali akisomewa mashtaka katika mahakama hiyo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi, ilielezwa mahakamani hapo kuwa mnamo Septemba 28, mwaka huu, kwenye Kijiji cha Sisu wilayani Misungwi, majira ya saa 7:30 mchana, Mng’ahwa Kazanza (42)...

 

10 years ago

Habarileo

Atimua mkewe kwa kushindwa kudhibiti fisi

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Limu Jumanne mkazi wa mkoani Singida, amemtimua na kumrejesha mkewe kwa wazazi wake akidai ni mvivu na mzembe kutokana na kushindwa kudhibiti kundi la fisi walioshambulia na kuua ndama sita wa ng’ombe akiwa machungani.

 

5 years ago

Michuzi

KAMANDA MUROTO ATHIBITISHA KUSHAMBULIWA KWA MWENYEKITI MBOWE



Charles James, Michuzi TV

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma limethibitisha kushambuliwa na kujeruhiwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake jijini Dodoma.

Akizungumza na wandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema taarifa za Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana walizipata asubuhi ya leo kupitia kwa Mbunge wa Viti Malum wa Chama hicho.

Muroto amesema tayari Jeshi la Polisi limeshaanza kufanya uchunguzi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!

DSC01596

Baadhi ya askari polisi wakishiriki kumtoa Fisi ambaye alikuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01597 Baadhi ya wananchi wa mji wa Singida wakishuhudia kutolewa nje Fisi aliyekuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01600 Badhi ya wananchi wa mji wa Singida,wakishiriki kumuuawa Fisi aliyevamia mji wa Singida na kusababisha hofu kubwa kwa wakazi. DSC01604 Fisi aliyevamia Singida mjini, akiwa kwenye gari la polisi baada ya kushambuliwa na wananchi kwa silaha za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kushambuliwa kwa Kumpa Break Nuh Mziwanda, Shilole Ajibu Mapigo

Baada ya Shilole kutangaza kumpa break mwenzi wake Nuh Mziwanda kwa muda wa mwezi huu mzima, wakitarajia kuendeleza malavi davi yao baada ya kipindi hiki kitakatifu kupita, baadhi ya  mashabiki ambao wanajinasibu kuijua dini  wamekuwa wakimshambulia Shilole kwa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuwa kitendo cha kutaka kumrudia tena Miziwanda  bila ndoa sio sawa kwa upande wa dini na wengine kwenda mabli zaidi na kudai hata kazi yake ya sanaa ambayo humfanya kukata maouno pia haifai, kitendo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani