Babake mtoto Mpalestina aliyechomwa, ameaga
Babake mtoto wa kipalestina aliyechomwa moto hadi akafa na walowezi wa kiyahudi katika eneo la (West Bank) ameaga dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Mama Mpalestina aliyechomwa aaga dunia
Mama Mpalestina aliyechomwa moto na walowezi wa kiyahudi ameaga dunia.
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa
Babake mtoto mpalestina aliyeteketea hadi kufa baada ya nyumba yao kuchomwa moto na walowezi wa kiyahudi amezikwa katika ukingo wa magharibi
5 years ago
CCM BlogMTOTO AMEAGA DUNI KWA KUSHAMBULIWA NA FISI
Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba June 2 wakati akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na tukio la kushambuliwa hadi kufariki dunia kwa mtoto wa miaka miwili na nusu aliyehamika kwa jina la Charles Christian katika...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Mtoto aliyepigwa na babake na kulazwa afariki dunia
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja (jina tunalo) mkaazi wa Junguni Gando aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wete akipatiwa matibabu baada ya kupigwa na baba yake mzazi kutokana na utofauti wa sura zao, amefariki dunia siku ya Jumatano alfajiri saa10.30 .
11 years ago
Mwananchi03 Jun
‘Mtoto wa boksi’ kuzikwa leo, ndugu wa babake wajitokeza
Ndugu wa baba wa mtoto, Nasra Mvungi (4) aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jana walijitokeza wakitaka wapewe mwili wa marehemu kwa ajili ya maziko.
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Gesi kutoka Israeli yaua mtoto mpalestina
Wizara ya afya ya Palestina imethibitisha kuwa mtoto wa miezi 8 amefariki baada ya kupumua gesi kali iliyotupwa na majeshi ya Israeli huko Bethlehem.
11 years ago
Michuzi01 Jul
JESHI LA POLISI IRINGA WALAKAMATA WATUHUMIWA WA MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO, MWILI WAKE WAAGWA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-xJi_Um_ALo0/U7LbWXdlLDI/AAAAAAAAKCA/cFuU36YPD_8/s1600/10492583_607210436052705_2820931477228157714_n.jpg)
Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umeagwa leo na kusafirishwa kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.Wanafunzi wa chuo hicho na wananchi wa manispaa ya Iringa walioguswa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.Jeshi la Polisi...
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Messi na babake washtakiwa kwa wizi
Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKh*5dmOuffBq2g7oV0nviDFZePHhgu3w4Qg6v0CFa9qKoiCxAi-txy6WI-1AYjVMiKupI0gP7KwfYPbsGuXwPC/4.jpg)
DULLY AMLILIA BABAKE USIKU KUCHA
Na Chande Abdalah/Risasi Mchanganyiko
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes maarufu kama Dully, Jumapili usiku alikesha akilia kiasi cha kushindwa kupokea simu kutoka kwa wadau mbalimbali waliompigia ili kumpa pole kwa msiba wa baba yake mzazi, Abby Sykes. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes maarufu kama Dully akiwa mwenye huzuni kubwa baada ya kufiwa na baba yake. Mzee Sykes (63) alifariki...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania