Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mtoto wa boksi’ kuzikwa leo, ndugu wa babake wajitokeza

Ndugu wa baba wa mtoto, Nasra Mvungi (4) aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jana walijitokeza wakitaka wapewe mwili wa marehemu kwa ajili ya maziko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

‘MTOTO WA BOKSI’ KUAGWA, KUZIKWA LEO MORO

Mtoto Nasra Rashid (4) enzi za uhai wake. MWILI wa mtoto Nasra Rashid (4) utaagwa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuanzia saa 2 hadi saa 3 asubuhi leo. Mwili huo baadaye utazikwa katika makaburi ya Kola, mkoani humo. Nasra alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili Juni 1, mwaka huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akitibiwa baada ya kuugua kutokana na kuishi kwenye boksi kwa muda wa miaka… ...

 

11 years ago

CloudsFM

MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA MINNE KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE,KUAGWA KATIKA UWANJA WA JAMHURI,MOROGORO

Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini.


Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa hospitali hiyo, Aminiel Aligaeshi.


Mwishoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majibu ya mtoto wa boksi leo

MAJIBU ya vipimo vya afya vilivyofanyika juzi kwa mtoto  Nasra Rashid (4), aliyefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, kwa muda wa miaka minne, yanatarajiwa kutolewa leo. Mtoto huyo awali alilazwa katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Afya ya ‘mtoto wa boksi’ yabadilika ghafla, kuletwa Dar leo

Hali ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyekuwa amefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, imebadilika ghafla juzi na jana kuwalazimu madaktari kumweka katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyefariki baharini kuzikwa leo

Mwili wa mtoto uliopatikana ufuoni mwa bahari Uturuki atazikwa leo nyumban kwao baada ya babake kuruhusiwa kuchukua mwili wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa

Babake mtoto mpalestina aliyeteketea hadi kufa baada ya nyumba yao kuchomwa moto na walowezi wa kiyahudi amezikwa katika ukingo wa magharibi

 

10 years ago

BBCSwahili

Babake mtoto Mpalestina aliyechomwa, ameaga

Babake mtoto wa kipalestina aliyechomwa moto hadi akafa na walowezi wa kiyahudi katika eneo la (West Bank) ameaga dunia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto Tabia Mkulukute apoteza maisha baada ya kugongwa na gari na kuzikwa leo Bunju ‘A’

Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake.


Gari la  Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge lilivyoharibiwa.

Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge  akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona.

2 (3)

Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana.

Wananchi wakiwa ng’ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto.

Mwanahabari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyepigwa na babake na kulazwa afariki dunia

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja (jina tunalo) mkaazi wa Junguni Gando aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wete akipatiwa matibabu baada ya kupigwa na baba yake mzazi kutokana na utofauti wa sura zao, amefariki dunia siku ya Jumatano alfajiri saa10.30 .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani