DULLY AMLILIA BABAKE USIKU KUCHA
![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKh*5dmOuffBq2g7oV0nviDFZePHhgu3w4Qg6v0CFa9qKoiCxAi-txy6WI-1AYjVMiKupI0gP7KwfYPbsGuXwPC/4.jpg)
Na Chande Abdalah/Risasi Mchanganyiko MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes maarufu kama Dully, Jumapili usiku alikesha akilia kiasi cha kushindwa kupokea simu kutoka kwa wadau mbalimbali waliompigia ili kumpa pole kwa msiba wa baba yake mzazi, Abby Sykes. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes maarufu kama Dully akiwa mwenye huzuni kubwa baada ya kufiwa na baba yake. Mzee Sykes (63) alifariki...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 May
‘Usiku wa marafiki wa Lowasa’: Shetta, Dully Sykes hapatoshi Triple A usiku wa leo
Wasanii nyota wa kizazi kipya nchini Nurdin Billal ‘Shetta na Abdulwaheed Sykes ‘Dully Sykes’, jioni ya leo wanatarajia kupiga shoo kubwa katika onyesho la kundi la marafiki wa waziri mkuu mstaafu, Edward Lowasa lililopewa jina la “ Usiku wa marafiki wa Lowasa”.
Onyesho hilo limeandaliwa na kundi la marafiki hao wa Lowasaa chini ya umoja wao unaojulikana kama ‘4 U Movement’, linataraji kufanyika katika ukumbi wa burudani wa Triple A uliopo jijini Arusha ambapo mbali na wasanii hao pia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL-XWPNGhMddIFeCynjPb7ubywt87zJIaUhvq5szpae2xnz1XQct8-Q3nWAzYO*rcegOtWQQ8Dj1Q-42gMk5mud6/Mtitu.jpg)
MTITU AELEZA ALIVYOTESEKA USIKU KUCHA
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Maelfu wajitokeza Marekani kushiriki mandamano usiku kucha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWmzBelkGZAY2ueFKNk1ujgPdRfGgAHO-GDNE6cAzroV6Ch7nHZMVRgZS-IthF4logA9pAv2v8nfPiVQ0OAbDt0T/444.jpg)
DULLY ANASWA NA TOTOZ KLABU YA USIKU!
10 years ago
Michuzi15 May
SHETTA,DULLY SYKES KUNOGESHA TAMASHA LA USIKU WA MARAFIKI WA LOWASA JIJINI ARUSHA
![pichaaaaa](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/c-B6msrivUEb5b3hExkqxlqCzHrFyIgOU3BUUQK8CY2zZf3wNZTLsBh1gFa3FCAzmRQftWI7thr8bsmfxC6uzIsHx6sWWBqjkRaX7q8XyCi4soCbuqtAW1WP=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/pichaaaaa.jpg?w=660)
Onyesho hilo limeandaliwa na kundi la marafiki hao wa Lowasaa chini ya umoja wao unaojulikana kama “4 U Movement” linataraji kufanyika katika ukumbi wa burudani wa Triple A uliopo jijini Arusha...
10 years ago
Michuzi29 Sep
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Messi na babake washtakiwa kwa wizi
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Babake mtoto Mpalestina aliyechomwa, ameaga