JESHI LA POLISI IRINGA WALAKAMATA WATUHUMIWA WA MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO, MWILI WAKE WAAGWA LEO
Marehemu Daniel Anael Lema enzi za uhai wake
Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umeagwa leo na kusafirishwa kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.Wanafunzi wa chuo hicho na wananchi wa manispaa ya Iringa walioguswa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.Jeshi la Polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM02 Jul
POLISI IRINGA YASEMA MWANAFUNZI WA RUCO ALIKUWA ANATEMBEA HUKU MWILI UKIWAKA MOTO
Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umesafirishwa jana kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.
Wanafunzi kadhaa wa chuo hicho na baadhi ya wananchi wa manispaa ya Iringa waliogusa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.
Jeshi la Polisi mkoani iringa linawashikilia watu wanne...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s72-c/IMG_20150714_173808.jpg)
MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s640/IMG_20150714_173808.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmf7sgKl5dE/VaYUMPqccsI/AAAAAAAABc4/weQXQ0JxyKE/s640/IMG_20150714_173219.jpg)
10 years ago
StarTV16 Apr
Watuhumiwa 57 washikiliwa Polisi Iringa.
Na Oliver Motto,
Iringa.
Watu 57 wanashikiliwa na Polisi mkoa wa Iringa wakituhumiwa kuhusika katika vurugu zilizotokana na kifo cha mwanafunzi Hamfrey Ng’amilo mwenye umri wa miaka 15 aliyefariki kwa kugongwa na gari katika barabara ya Iringa inayoelekea wilayani Kilolo mkoani humo.
Vurugu hizo zilizimwa na Polisi kwa kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wamefunga barabara na kuchoma moto matairi ya magari.
Kufuatia vurugu hizi, polisi Iringa tayari imewatia...
10 years ago
GPLMWILI WA JAJI MAKAME WAAGWA NA KUSAFIRISHWA LEO
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA
11 years ago
GPLMWILI WA SISTA ALIYEPIGWA RISASI WAAGWA JIJINI DAR LEO