POLISI IRINGA YASEMA MWANAFUNZI WA RUCO ALIKUWA ANATEMBEA HUKU MWILI UKIWAKA MOTO
Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umesafirishwa jana kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.
Wanafunzi kadhaa wa chuo hicho na baadhi ya wananchi wa manispaa ya Iringa waliogusa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.
Jeshi la Polisi mkoani iringa linawashikilia watu wanne...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi01 Jul
JESHI LA POLISI IRINGA WALAKAMATA WATUHUMIWA WA MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO, MWILI WAKE WAAGWA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-xJi_Um_ALo0/U7LbWXdlLDI/AAAAAAAAKCA/cFuU36YPD_8/s1600/10492583_607210436052705_2820931477228157714_n.jpg)
Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umeagwa leo na kusafirishwa kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.Wanafunzi wa chuo hicho na wananchi wa manispaa ya Iringa walioguswa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.Jeshi la Polisi...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwanafunzi agongwa, wakazi wachoma moto kituo cha polisi
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Mwili wa mwanafunzi aliyechapwa wazikwa
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKAONI IRINGA LINAWASHIKILIA WANANCHUO 89 WA CHUO KIKUU CHA IRINGA
9 years ago
StarTV16 Nov
 Mwanafunzi Shule ya Sekondari Idodi Iringa afariki dunia
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Idodi mkoani Iringa amefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakati akicheza mpira uwanjani na wanafunzi wenzake.
Radi hiyo pia imejeruhi wanafunzi wengine saba na mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Idodi aliyekuwa anaokota kuni jirani na uwanja huo kabla mvua iliyoambatana na radi haijaanza kunyesha.
Tukio hilo la Ijumaa ni la pili kwa kipindi cha siku mbili ambapo siku moja kabla, mkazi wa kijiji cha Kibena Iringa vijijini akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxNnUlgEoqfpznBfK14AOMOJyIYF3pFsicEaAiPsYzqI6VUbV95JfMEmOwnASi1zggWZ3GCdREamlWwL*JdNshF/MWANACHUOALIYECHOMWAMOTO.2..jpg)
MWANAFUNZI CHUO KIKUU ACHOMWA MOTO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)