Atimua mkewe kwa kushindwa kudhibiti fisi
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Limu Jumanne mkazi wa mkoani Singida, amemtimua na kumrejesha mkewe kwa wazazi wake akidai ni mvivu na mzembe kutokana na kushindwa kudhibiti kundi la fisi walioshambulia na kuua ndama sita wa ng’ombe akiwa machungani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Serikali yakiri kushindwa kudhibiti vifo vya wajawazito
SERIKALI imekiri kushindwa kudhibiti kwa kiwango kikubwa vifo vya wajawazito nchini jambo linalohatarisha zaidi maisha ya wanawake na kushindwa kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia ifikapo mwaka 2015. Kauli...
5 years ago
CCM BlogMTOTO AMEAGA DUNI KWA KUSHAMBULIWA NA FISI
Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba June 2 wakati akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na tukio la kushambuliwa hadi kufariki dunia kwa mtoto wa miaka miwili na nusu aliyehamika kwa jina la Charles Christian katika...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, imemhukumu msanii wa ngoma za asili, Mng’ahwa Kazanza (42), kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kumiliki fisi wawili na kuwatumia kwenye sanaa zake bila kibali.
Awali akisomewa mashtaka katika mahakama hiyo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi, ilielezwa mahakamani hapo kuwa mnamo Septemba 28, mwaka huu, kwenye Kijiji cha Sisu wilayani Misungwi, majira ya saa 7:30 mchana, Mng’ahwa Kazanza (42)...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!
![DSC01597](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01597.jpg)
![DSC01600](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01600.jpg)
![DSC01604](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01604.jpg)
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Ajira za undugu ni kushindwa kwa mfumo
MOJA kati ya mambo yaliyotawala katika vyombo vya habari hapa nchini wiki iliyopita ni ajira zinazodaiwa kutolewa na Idara ya Uhamiaji kwa watu wenye uhusiano na watendaji wa idara hiyo....
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Watabiri kushindwa kwa mpango wa BRN
11 years ago
Habarileo17 Feb
Auawa kwa kushindwa kulipa 500/-
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yameendelea kutokea wilayani hapa, ambapo mtu mmoja, mkazi wa kijiji cha Kazila, ameuawa na mdai wake kwa kushindwa kulipa deni la Sh 500 baada ya kula nyama ya nguruwe, maarufu kama ‘kitimoto’. Charles Abel (20) aliuawa kwa kupigwa na kipande cha kuni tumboni na muuzaji wa nyama hiyo, Gosbert Frednand (19).
11 years ago
Mwananchi23 May
Waziri ajiua kwa kushindwa uchaguzi