Ajira za undugu ni kushindwa kwa mfumo
MOJA kati ya mambo yaliyotawala katika vyombo vya habari hapa nchini wiki iliyopita ni ajira zinazodaiwa kutolewa na Idara ya Uhamiaji kwa watu wenye uhusiano na watendaji wa idara hiyo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Msiajiri kwa vigezo vya undugu-mkurugenzi
10 years ago
Habarileo12 Apr
Sekretarieti ya ajira yaja na mfumo mpya wa maombi ya kazi
SEKRETARIETI ya ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kuzindua mfumo mpya wa utumaji na upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kupitia ‘Recruitment Portal’ hivi karibuni baada ya hatua za majaribio ya mfumo huo kuonesha mafanikio.
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
VijimamboTFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI
11 years ago
Habarileo10 Dec
Undugu wa Nelson Mandela Tanzania
WAKATI dunia ikienda Afrika Kusini kumzika mpiganaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, Nelson Mandela, Tanzania inaomboleza ikiwa na kumbukumbu za undugu wa tangu miaka ya 1960.
11 years ago
Habarileo24 Apr
Undugu wa Tanzania washikilia Muungano
WAKATI hoja za kubatilisha Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa zikizidi kupoteza nguvu, Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Riziki Said Lulida, ameonya Watanzania kuacha kubaguana kwa misingi ya upande wa Muungano kwa kuwa wao ni ndugu wa damu.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kuuacha undugu ni dalili za kuyakaribisha maangamizi
YALIANZA kama masihara, mwanzoni mwa kipindi cha kwanza cha awamu ya pili ya uongozi wa nchi yetu, wawakilishi wetu, wabunge, kwa kusukumwa na kitu ninachoweza kukiita ibilisi wa umimi, wakaona...
11 years ago
Mwananchi23 May
Waziri ajiua kwa kushindwa uchaguzi
11 years ago
Habarileo17 Feb
Auawa kwa kushindwa kulipa 500/-
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yameendelea kutokea wilayani hapa, ambapo mtu mmoja, mkazi wa kijiji cha Kazila, ameuawa na mdai wake kwa kushindwa kulipa deni la Sh 500 baada ya kula nyama ya nguruwe, maarufu kama ‘kitimoto’. Charles Abel (20) aliuawa kwa kupigwa na kipande cha kuni tumboni na muuzaji wa nyama hiyo, Gosbert Frednand (19).