Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuuacha undugu ni dalili za kuyakaribisha maangamizi

YALIANZA kama masihara, mwanzoni mwa kipindi cha kwanza cha awamu ya pili ya uongozi wa nchi yetu, wawakilishi wetu, wabunge, kwa kusukumwa na kitu ninachoweza kukiita ibilisi wa umimi, wakaona...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Undugu wa Nelson Mandela Tanzania

Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa Maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika yaliyofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).WAKATI dunia ikienda Afrika Kusini kumzika mpiganaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, Nelson Mandela, Tanzania inaomboleza ikiwa na kumbukumbu za undugu wa tangu miaka ya 1960.

 

11 years ago

Habarileo

Undugu wa Tanzania washikilia Muungano

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Riziki Said LulidaWAKATI hoja za kubatilisha Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa zikizidi kupoteza nguvu, Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Riziki Said Lulida, ameonya Watanzania kuacha kubaguana kwa misingi ya upande wa Muungano kwa kuwa wao ni ndugu wa damu.

 

11 years ago

Mwananchi

Maangamizi

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Yanga jana waliichakaza Prisons kwa mabao 5-0, lakini hawakuweza kushika usukani baada ya Azam kuendelea kujichimbia kileleni kwa kushinda 2-0 dhidi ya Mgambo Shooting.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajira za undugu ni kushindwa kwa mfumo

MOJA kati ya mambo yaliyotawala katika vyombo vya habari hapa nchini wiki iliyopita ni ajira zinazodaiwa kutolewa na Idara ya Uhamiaji kwa watu wenye uhusiano na watendaji wa idara hiyo....

 

9 years ago

Habarileo

Silaha za maangamizi

TANZANIA imetoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa wa kuhakikisha inashirikiana kuhakikisha kwamba silaha za maangamizi zikiwamo za nyuklia haziangukii mikononi mwa makundi ya kihalifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Msiajiri kwa vigezo vya undugu-mkurugenzi

Wamiliki wa hoteli mkoani Iringa, wametakiwa kuacha mazoea ya kuajiri wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi na badala yake, wazingatie sifa na vigezo vya walivyo navyo, ili kuchochea kasi ya ukuaji wa shughuli za utalii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK anakubali kuiacha Tanzania kwenye maangamizi

MHESHIMIWA  Rais Jakaya Kikwete, ni mtu mwema sana. Ndiyo maana alipotangazwa kuwa rais wa nchi yetu kwa mara ya kwanza wananchi karibu wote walishangilia bila kujali itikadi za vyama. Sina...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Othman Masoud:Maangamizi ya Zanzibar

The post Sauti:Othman Masoud:Maangamizi ya Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm. Na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm ametamka wazi kuwa ataendelea kutumia mfumo wa kutumia mastraika watatu katika michezo mbalimbali ya timu hiyo kama alivyofanya katika mchezo dhidi ya Azam FC kutokana na kuhitaji kikosi hicho kupata ushindi wa mabao mengi katika kila mchezo wake. Yanga ilionekana kucheza kwa kufanya mashambululizi mengi katika mechi dhidi ya Azam, wikiendi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani