Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Wananchi waishtaki Serikali kwa Magufuli
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7aelhzPnWs/U2ihZWq9LiI/AAAAAAAFf2g/PJ-f-YB2Md8/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Wafanyabiashara DRC wapata matumaini ofisi ya TPA Lubumbashi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zbQlG6oCWOc/U2OVGe1hqZI/AAAAAAAFe5M/fq8dPKH45qk/s72-c/MWAHER.jpg)
Wafanyabiashara DRC wahamasishwa kutumia ofisi mpya za TPA Lubumbashi
![](http://3.bp.blogspot.com/-zbQlG6oCWOc/U2OVGe1hqZI/AAAAAAAFe5M/fq8dPKH45qk/s1600/MWAHER.jpg)
Serikali ya Tanzania imesema imedhamiria kuhakikisha wafanyabiashara toka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo wanaotumia bandari ya Dar es Salaam wanapata huduma nzuri kwa faida ya nchi zote mbili.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema wakati wa uzinduzi wa ofisi ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mjini Lubumbashi, DRC kuwa wizara yake na bandari ya Dar es Salaam watahakikisha kuwa huduma za bandari zinasogezwa karibu na...
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
DRC:Familia zailaumu serikali kuwatelekeza
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Serikali yakana kuwaua waandamanaji DRC
11 years ago
Habarileo03 Aug
`Serikali haijatelekeza askari waliopigana DRC’
SERIKALI imesema hakuna askari wake halali, aliyepelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) au nchi nyingine yoyote, kushiriki operesheni ya kivita na mapigano bila kufuata taratibu.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Serikali ‘yakomaa’ na wafanyabiashara
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi