Serikali ‘yakomaa’ na wafanyabiashara
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa pamoja na Jeshi la Polisi wamewajia juu wafanyabiashara wanaogomea matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti za EFD kwa kuwaeleza kuwa ni lazima wazitumie.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Liverpool yakomaa nne bora
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC
10 years ago
Mwananchi08 Apr
MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
11 years ago
CloudsFM19 Jun
SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO
Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wabunge wataka serikali kuwajibika mgomo wa wafanyabiashara
WABUNGE wameitaka Serikali kuharakisha mazungumzo yake kuhusu tatizo lililopo la mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, ili suala hilo lipatiwe ufumbuzi mapema.