Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ‘yakomaa’ na wafanyabiashara

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa pamoja na Jeshi la Polisi wamewajia juu wafanyabiashara wanaogomea matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti za EFD kwa kuwaeleza kuwa ni lazima wazitumie.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Liverpool yakomaa nne bora

Liverpool imezidi kujikita katika nafasi ya nne baada ya Daniel Sturridge na Jordan Henderson kila moja kufunga mabao mawili wakishinda 4-3 dhidi ya Swansea City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyabiashara waishtaki serikali DRC

Wafanyabiashara ya Vinyago mjini Kinshasa, wameishtaki serikali kwa kuchoma maeneo yao ya uchuuzi na kusababisha hasara.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara

>Kwa muda mrefu sasa tangu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilipowataka kisheria wafanyabiashara wakubwa nchini kutumia mashine za EFD kukokotoa malipo ya kodi, imeibuka misuguano baina ya taasisi hiyo ya Serikali na wafanyabiashara.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara

Mgomo uliofanywa na wafanyabiashara wa maduka katika baadhi ya mikoa nchini kwa siku mbili mfululizo wiki hii umedhihirisha kwamba mgogoro wa siku nyingi kati ya wafanyabiashara hao na Serikali kuhusu matumizi ya mashine za kutolea risiti za elektroniki (EFD), bado haujapata suluhisho la kudumu. 

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

11 years ago

CloudsFM

SUGU AITAKA SERIKALI KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO

Kinachoendelea bungeni mjini Dodoma, baada ya bajeti kusomwa wiki iliy opita, sasa hivi ni wakati wa wabunge kuchangia mawazo na mitazamo yao kwenye bajeti hii ya mwaka wa fedha 2014/2015,, mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, hivi karibuni aliishauri serikali kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ili kuweza kunyanyua uchumi wao na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wataka serikali kuwajibika mgomo wa wafanyabiashara

Naibu Spika Job NdugaiWABUNGE wameitaka Serikali kuharakisha mazungumzo yake kuhusu tatizo lililopo la mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, ili suala hilo lipatiwe ufumbuzi mapema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani