Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakaazi wa Kivu Kusini, DRC wagoma

Wakazi wa mji wa Baraka, kusini mwa jimbo la kivu, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo,wameingia siku ya pili ya mgomo baridi,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa DRC auawa vitani Kivu

Kamanda wa majeshi ya serikali yanayopigana dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu wa Uganda, mashariki mwa nchi ameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC :Mafuriko yaleta hasara kubwa Kivu

Familia nyingi zimesalia bila makao baada ya mafuriko kubomoa nyumba zaidi ya 100 katika tarafa ya Fizi Kivu kusini Jamhuri ya Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wagoma Afrika Kusini

Wanachama hao wanataka mishahara kuongezwa maradufu kufuatia mfumuko wa bei nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wa madini wagoma Afrika Kusini

Mgomo mkubwa zaidi wa wafanyakazi wa machimbo ya madini ya Platinum nchini Afrika Kusini utaanza siku ya Alhamisi Afrika Kusini

 

10 years ago

Mwananchi

‘Soko la mahindi lipo DRC, Sudan Kusini’

Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Yamungu Kayandabila amewataka wafanyabiashara kuchangamkia soko la mahindi na mchele katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gereza yavamiwa Kivu Kaskazini

Gereza moja KIvu Kaskazini, mashariki mwa DRC yavamiwa na wapiganaji na wafungwa waaachiliwa huru

 

10 years ago

StarTV

Gereza lavamiwa Kivu Kaskazini.

Watu waliokuwa na silaha wamevamia gereza mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo na kuwaachilia huru wafungwa kama 400.

 
Uvamizi huo ulitokea Jumamosi usiku katika mji wa Butembo katika jimbo la Kivu Kaskazini.

 
Msemaji wa serikali ya Congo, Lambert Mende, alithibitisha kuwa gereza ilivamiwa lakini aliiambia BBC kwamba bado wanachunguza vipi shambulio hilo lilifanywa.

 
Kumetokea mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini katika siku 10 zilizopita – mashambulio yanayodaiwa kufanywa na...

 

11 years ago

Michuzi

RWANDA AWARDS 50 MW METHANE GAS TO ELECTRICITY PROJECT ON LAKE KIVU TO U.S. SYMBION POWER

During the U.S. Africa Head of State Summit this week in Washington, D.C., the Government of Rwanda’s Energy Water and Sanitation Authority (EWSA) awarded Symbion Power a 50 megawatt Independent Power Production (IPP) project using methane gas from Lake Kivu, it was announced today by Paul Hinks, Chief Executive Officer, Symbion Power.
Symbion will build, own and operate a 50 MW power station by constructing gas extraction facilities to lift, separate, and process methane gas, which is...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakaazi watofautiana na jeshi Maiduguri

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limefaulu kusambaratisha shambulio la pili la Boko Haram licha ya wakaazi kupinga hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani