Gereza lavamiwa Kivu Kaskazini.
Watu waliokuwa na silaha wamevamia gereza mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo na kuwaachilia huru wafungwa kama 400.
Uvamizi huo ulitokea Jumamosi usiku katika mji wa Butembo katika jimbo la Kivu Kaskazini.
Msemaji wa serikali ya Congo, Lambert Mende, alithibitisha kuwa gereza ilivamiwa lakini aliiambia BBC kwamba bado wanachunguza vipi shambulio hilo lilifanywa.
Kumetokea mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini katika siku 10 zilizopita – mashambulio yanayodaiwa kufanywa na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Gereza yavamiwa Kivu Kaskazini
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Tunahitaji ‘gereza- lisha’ au ‘gereza- kijiji’ ?
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Shamba la mwekezaji lavamiwa
WANANCHI zaidi ya 60 wamevamia shamba la muwekezaji mwenye asili ya kiasia, Pradeep Lodhia na kufanya uharibifu wa mali mbalimbali. Wananchi hao walivamia shamba la mwekezaji huyo lijulikanalo kama Tanzania Plantation lililopo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5J5CASrKxOsc3KgeOM8R6j-IwcSmiCG*L2ymcYEVTFfnDS7B2icIaUYXG5LfY9JnT07-HSjK3voute3*FSdkzRz/kenyasecurityattacks.jpg?width=650)
BASI LA ABIRIA LAVAMIWA KENYA, WATU 28 WAUAWA
10 years ago
VijimamboNEW YORK - JIJI LA WAJANJA LAVAMIWA NA WALEGEVU WA MAMBO
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Wakaazi wa Kivu Kusini, DRC wagoma
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kamanda wa DRC auawa vitani Kivu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VybbdaYedb8/U8jYNmpv-bI/AAAAAAAF3TM/zpA8vS5meHo/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Mama Asha Suleimani Iddi katika Futari ya Jumuiya Madrasatul Hidayatul Islamia ya Kijiji cha kidoti Wilaya ya Kaskazini “ A” Mkoa wa Kaskazini Unguja
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
DRC :Mafuriko yaleta hasara kubwa Kivu